Ninampango wa kuanzisha mradi wangu wa kutengeneza matofali kwa bei nafuu kwa kutumia technology ya ya hydraform, kwa upande wa huku arusha sijajua nawapata wapi hawa wataalum wa kutengeneza mashine hizi.kwa anayefahamu naomba anisaidie
Sasa bwana mkubwa chochote unachofanya lazma tutafute muda Wa kuwa za ni jinsi gani nijiboreshe utafitaji Wa chakula changu na huo muda ndo wakujisomea.
Ivi jamani hata maandiko yanatuambia ifike mahali uachane na familia yako uanzishe yako, sasa huyu wa miaka 30 atakua na uwezo huo kweli kama hajui kuhaso,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.