Tundu Lissu na Godbless Lema wanaunguruma Singida leo

Tundu Lissu na Godbless Lema wanaunguruma Singida leo

12STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
1,190
Reaction score
409
Makamanda hao wenye ushawishi na wasitindikiwa maneno yaliyojaa Hekima na kuwafanya kwao ni kazi rahisi KUWAVUA MAGAMBA makada na wanachama wengi wa CCM ili kuwavika MAGWANDA na kujiunga na kundi la ukombozi,
Ibainika wako Singida leo.

Mkutano utafanyika kwenye MNYINGA(MNINGA) Madukani kijiji na Kata ni MTUNDURU,Kuanzia saa nane mchana leo hii mpaka saa 12 jioni.

DELETE CCM NDIO MPANGO MZIMA.

Uwe na sikio la kusikio nitakuza kinachoendelea.
 
Daaah natamani ningekuwa huko nijioneee hizo harakati
 
Hongera chadema kwa kutopambana na ACT huo ni uamuz mzur maana mmemtambua adui wa nchi yetu ni mfumo ulowekwa na ccm
 
Sauti ile ya Lema unasema anaunguruma! Kubana pua nako ni kuunguruma?
 
hahahahhaa...hapa utawaona CCM wanatukana ,wanalia lia....Jibu utajua nani ambaye ni mpinzani\

Ukienda kwenye ule upuuzi wa zito utaona maCCM Yanavyoshangilia...utajua ally wa CCM ni nani
 
Wote waropokaji, hapo ni matusi mwanzo mwisho!

KAKA ACHA KUWEWESEKA,Jipangeni sawasawa Singida ni ngome ya CCMA miaka nenda rudi msipokaa vizuri HAKI ANANI NAKUAPIA MSALAN,Singida yoooote Mtaambulia MAJIMBO MAWILI TU.

Jimbo la MWIGULU CHEMBA na
Singida Kaskazini kwa Mh.LAZARO NYALANDU.
 
18mins,only 6comments?!
Loading.............................
 
Mtunduru unamaanisha MITUNDURUNI?
Mbona mkutano haujatangazwa?
ama ni nje ya Mji wa Singida?
 
mkuu ccm wakisia hayo majina presha inapanda na kushuka
 
all the best katika harakati za ukombozi
 
Combi nenga ya Lisu na Lema ni hatari kwa CCM na vibaraka wao ...
 
Makamanda hao wenye ushawishi na wasitindikiwa maneno yaliyojaa Hekima na kuwafanya kwao ni kazi rahisi KUWAVUA MAGAMBA makada na wanachama wengi wa CCM ili kuwavika MAGWANDA na kujiunga na kundi la ukombozi,
Ibainika wako Singida leo.

Mkutano utafanyika kwenye MNYINGA(MNINGA) Madukani kijiji na Kata ni MTUNDURU,Kuanzia saa nane mchana leo hii mpaka saa 12 jioni.

DELETE CCM NDIO MPANGO MZIMA.

Uwe na sikio la kusikio nitakuza kinachoendelea.

Dah! Nilidhani nawe unatueleza yaleyale kwamba Tundu Lisu na Godfrey Lema wanahamia ACT!!! nilianza kutayarisha pa kuangukia nikizimia maana siasa za Tanzania hazieleweki vizuri no real known pre-determinants
 
Duh. Hongereni singida. Jamani tunaombeni lisu aje akusanye makadi ya ccm huku kusini. Maana kwa kazi anayoifanya bungeni haina mfano. Ccm must go.
 
Back
Top Bottom