Kwa uelewa wangu mdogo CIA wanadeal na masuala ya intellijensia nje ya marekani kwa mfano kama kuna threat yoyote ambayo iko targeted to US , CIA ndo wanaenda kusolve. FBI wanadeal na masuala ya intellijensia na ulinzi ndani ya US , hawavuki nje ya boarders za US
Hapo inabidi mgekuwa na documents mlizosign wote ....though in law pia oral contracts zinakubalika as long ziwe na ingredients zote za a valid contract
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.