uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,459
- 904
70% kwa 30%Ruge anashare
70% kwa 30%Ruge anashare
Ni ya mke wa Kusaga ioAm not so sure ila ilikuwaga inaitwa coconut FM
Watakuelewa wachacheYa Rostam Aziz
Mkuu!katika mitambo yao Tcra waliambiwa washushe kidogo....coz redio nyngne walisema hazshk mikoan kutokana na cloudshuku songea clouds hatueapati sijui wameamisha mitambo
Anampango wa kujitoa clouds pia anafungua na TVHivi huyu jamaa aliyemwambia biashara ni ya media pekee ni nani? hata hvyo kwa nini asingejikita kwenye kuiinua choice fm kabla ya kuanzisha nyingne?
Angeikuza kwanza choice FM maana bado ni changa sana tena sana.............
Anampango wa kujitoa clouds pia anafungua na TV
Clouds ni ya Familia ya Kusaga ikihasisiwa na Marehemu Mzee Kusaga Ruge ni Employee ila ni mmoja wa watendaji wakuu!Clouds ni ya kusaga....ruge ni mtendaji mkuu
Unaweza kuthibitisha unachosema?Na wewe acha kulisha watu matangopori... Escape one haiko chini ya clouds Media Group Bali huo ni mradi binafsi wa Jo Kusaga kama ilivyo Escape Two. Clouds M Group ni Kampuni ya familia Nzima Ya Kusaga(Kusaga's) inayomiliki 70%shares..
Sisikilizi Tena Sikuizi Imekua Kama Ile Redio Ya Visingeli. Nilikua Lazma Nimsikilize Vanessa Mdee Na Joey Hata Niwe Kwenye Lecture Ya Prof. Palamagamba Kabudi Au Dr. Tulia Ackson. Ila Sikuizi Daaah. Waliniboa Kishenzi Majamaa.Maana ndio biashara iliyo mtajirisha, na anaielewa vizuri... Waliboa walivyobadilisha choice fm to a Swahili channel..
Choice ilikuwa zinga la station na ingekuwa kubwa zaidi kipind cha kina vee na hitlist.....baby,Abby,Chris's,.....baada ya hapo ikapotea iliporudi sasa mamaaaa so ndio hadi giggy money ni presenter Mara idriss naye yumoHivi huyu jamaa aliyemwambia biashara ni ya media pekee ni nani? hata hvyo kwa nini asingejikita kwenye kuiinua choice fm kabla ya kuanzisha nyingne?
Ilikuwa nzur kinoma yaanSisikilizi Tena Sikuizi Imekua Kama Ile Redio Ya Visingeli. Nilikua Lazma Nimsikilize Vanessa Mdee Na Joey Hata Niwe Kwenye Lecture Ya Prof. Palamagamba Kabudi Au Dr. Tulia Ackson. Ila Sikuizi Daaah. Waliniboa Kishenzi Majamaa.
Yap ikiwa giggy money kaweza ndio atashindwa harmorapa yaani Sijui pengine watu wengi ndio wanapenda after all watanzania tunaoweza kusikiliza radio English tupu in wachache soon muda so mref harmorapper atakuwa Millard ago mpya na yeye kwenye countdown yakrRadio kama ile choice FM kuna siku utamkuta Harmorapa ni mtangazaji.
Kusaga ndo CEOHivi huwa sielewi!
Clouds ni ya kusaga au ruge?
mwenye kuelewa hili anisaidie sio kwa nia mbaya
Acha tu. Hitlist walikua wananipa updates za movies,na ngoma zao za mbele zote zilikua brand new. Abby na Jimmy Kabwe walikua wananikonga nyoyo sana. Siku nilipofall in love ilikua siku Vee Money kamuhoji AliKiba,alafu wakawa wanaimba live. I could pay for Hitlist to be back, Vee Money na Joey I really miss those guys.Ilikuwa nzur kinoma yaan
Tamaa,ndio inayosumbua.Angeikuza kwanza choice FM maana bado ni changa sana tena sana.............
yeah...nadhan ameleta hii iwe kama Ile choice ya zamanMaana ndio biashara iliyo mtajirisha, na anaielewa vizuri... Waliboa walivyobadilisha choice fm to a Swahili channel..