December 27, 2016
Mnamo tarehe 26 na 27 Desemba, 2016 baadhi ya mitandao ya kijamii imeandika taarifa zenye nia ya kupotosha Umma ambazo Sekretarieti ya Ajira inapenda kuzitolea ufafanuzi kama ifuatavyo;-
1. Sekretarieti ya Ajira inapenda kutoa ufafanuzi kufuatia hoja iliyoandikwa katika...
*** Inawezekana kabisa. Kwa maelezo ya utaratibu wa kuufuata soma Standing Orders For Public Service.
Kama huna kitabu cha Standing Orders, waweza kukipakua moja kwa moja ktk Google
Ndio, ajira za moja kwa moja za walimu wa masomo ya sanaa hazitakuwepo kwa sasa. Haya ameyasema Ndalichako jana wakati akifungua mkutano wa wakuu wa shule za sekondari Tanzania (TAHOSSA) uliofanyika jana Dodoma
Yaani kama hamjaijua game inayochezwa hapo ni kwamba wanajua kuwa kama watawatambua walioajiriwa baada ya mei mosi watalazimika kuwalipa stahiki zao zooote tangu walipowasimamisha. So, ili kuliepusha hilo ndo mana wanasema hawawatambui. Utaratibu anaojaribu kuuongelea Kairuka ni kutaka...
......Dk Ndumbaro alitoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizopo mtandaoni kwamba ametuma waraka kwa maofisa utumishi wote nchini kuwafukuza kazi waajiriwa wapya wa Juni." Hizo taarifa si za kweli. Sijatuma waraka wa aina yoyote," alisema Dk. Ndumbaro. ( Mwananchi,[Disemba 12]. Paragraphs 11&12)
Jana, disemba 06, nilipata taarifa kwa Afisa Utumishi wa Iringa DC kuwa wameanza kuwarejesha kazini wale ambao ajira zao zilisimamishwa. Wao, Iringa DC wamewapigia simu vijana wao warudi kazini.
SIDHANI kama kunatruth value ktk hili.
-Hv hili shauri limefunguliwa ktk mahakama gani?
-Hivi sensitive issue kama hii inaweza kupokelewa mahakamani pasi na written proof?
-Basi, kama ulipewa barua ya kufukuzwa kazi, hebu uipost hapa tuujue ukweli.
-Inshu ya kufukuzwa kazi watumishi wengi kiasi...
Waislam walikubali Agano la Kale na wanalikataa kabisa agano jipya. Ninyi, waislam mmekengeuka kwa sababu Quran anayatambua maagano yote, na ushahidi ni huu hapa:-
" Allah! Hakuna mungu isipokuwa Yeye, aliye hai na wa milele. Amewafunulia kitabu chenye ukweli kinachothibitisha yale...
kumekuwa na kawaida kwa ulimwengu wa Kiislamu kufanya kila juhudi kuonyesha kwamba Biblia imepotoshwa, ingawaje jambo hilo si kweli hata kidogo. Ukiachilia mbali makosa ya kibinadamu ya hapa na pale ambayo yanaingia kutokana na ukweli kwamba Biblia imetafsiriwa na inaendelea kutafsiriwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.