sir Ganto G
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 573
- 113
Habari wadau.
Naomba kujua kama kuna uwezekano wa muajiriwa wa serikali kuhama wizara kwenda wizara nyingine. Je, mwajiriwa anaweza akaomba kwenda wizara nyingine kama ana vigezo vinavyokidhi kuhamia wizara husika?.
Tafadhali naomba kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa na hili.
Natanguliza shukrani.
Naomba kujua kama kuna uwezekano wa muajiriwa wa serikali kuhama wizara kwenda wizara nyingine. Je, mwajiriwa anaweza akaomba kwenda wizara nyingine kama ana vigezo vinavyokidhi kuhamia wizara husika?.
Tafadhali naomba kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa na hili.
Natanguliza shukrani.