Waziri Kairuki ameweka pingamizi mahakamani juu ya vijana 3000 waliofukuzwa kazi June 2016

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
Waziri wa utumishi na utawala bora amepeleka kipingamizi Leo mahakamani baada ya Mahakama kupanga tarehe 14/12/2016 kusikiliza kesi hiyo iliyohusisha waajiriwa wa kanda ya Mahakama ,Afya,mikoani nk waliosainishwa mikataba ya kazi na kuanza kufanya kazi serikali baada ya mwezi mmoja walisimamishwa kazi kwa kigezo cha uhakiki wa watumishi hewa walipofatilia baada ya uhakiki waliambiwa wamefukuzwa kazi hivyo kuamua kwenda mahakamani kutafuta haki baaada ya kwenda utumishi na kupewa majibu ya kwamba swala hilo halipo ofisini hapo lipo kwa Rais Leo angellah kairuki amepeleka pingamizi mahakamani ili kesi isisikilizwe Mahakama imesema hiyo pingamizi Haijakizi matakwa ya kisheria na mahakama kuamua kesi hiyo kusikilizwa tarehe iliyopangwa tangu wafukuzwe kazi Leo huu mwezi wa sita wapo nyumbani.
 
Kama Kazi za mawaziri wa magufuli ndio hizi?........

Tegemeeni maumivu kwenye maendeleo...

Yaani waziri anayeusika na kutoa Ajira anazuia kwa njia yeyote watu kupata Ajira?.....

Huo muda si angeutumia kushauriana na waziri wa fedha waone jinsi ya kupata fedha za kuwalipa watu ambao walishawasainisha mikataba ya Ajira....

Za kununua ndege zipo lakini za kuwalipa hawa hakuna?.......

Serikali mbovu kabisa kuwai kutokea......
 
Tunaomba chanzo vinginevyo admin/kiongozi wa jf huyu afuatiliwe, wanaoweza kuleta sintofahamu ndani taifa hili.
 
Nadhani hawa mawaziri wanafundishwaga cha kusema, hawasemi kwa utashi wao.
 
Kama ni kweli huyu mwanamke hana akl kabisa...yaan yeye na ndaliCharcoal ni up√√zi kabisa....mbona wakinamama huwa ni waelewa na wakweli. !!!...mfano Makamu wa Rais yaani ni mtulivu....hapendi shari daaah....hapa ndo nawakubar wakinamama wa Kiislam......sasa ukija kwa hawa mburula duuuuuh!!!....kama yametumwa vile....Shw@®\_¢n
 
Dah!..kweli hakuna anaewahurumia vijana wanaosota mitaani kama mambo ndio hivi.vijana wanayo kazi awamu hii
 
Waziri wa utumishi na utawala bora amepeleka kipingamizi Leo mahakamani baada ya Mahakama kupanga tarehe 14/12/2016 kusikiliza kesi hiyo iliyohusisha waajiriwa wa kanda ya Mahakama ,Afya,mikoani nk waliosainishwa mikataba ya kazi na kuanza kufanya kazi serikali baada ya mwezi mmoja walisimamishwa kazi kwa kigezo cha uhakiki wa watumishi hewa walipofatilia baada ya uhakiki waliambiwa wamefukuzwa kazi hivyo kuamua kwenda mahakamani kutafuta haki baaada ya kwenda utumishi na kupewa majibu ya kwamba swala hilo halipo ofisini hapo lipo kwa Rais Leo angellah kairuki amepeleka pingamizi mahakamani ili kesi isisikilizwe Mahakama imesema hiyo pingamizi Haijakizi matakwa ya kisheria na mahakama kuamua kesi hiyo kusikilizwa tarehe iliyopangwa tangu wafukuzwe kazi Leo huu mwezi wa sita wapo nyumbani.

Nkanga Chief,leo umeibuka na ID mpya Mr Chachandu uliyoifungua jana tu, kuendeleza uwongo,uzushi na upotoshaji. Mods mbona mna uvumilivu mkubwa na mtu huyu?
 
SIDHANI kama kunatruth value ktk hili.
-Hv hili shauri limefunguliwa ktk mahakama gani?
-Hivi sensitive issue kama hii inaweza kupokelewa mahakamani pasi na written proof?
-Basi, kama ulipewa barua ya kufukuzwa kazi, hebu uipost hapa tuujue ukweli.
-Inshu ya kufukuzwa kazi watumishi wengi kiasi hicho lazima ingezungumziwa hata na media nyingine.
 
Back
Top Bottom