Dawa ni kuwapiga chini wabunge wote wa chama cha mafisadi! hawafai hao wote wanafiki,ni kama familia ya mganga wa kienyeji mke anaroga Baba anajidai kuagua but the truth is wote ni wachawi
Sasa hapo unachanganyikiwa nini! umeshasema ni demu wa Kaka yako, right?
Acha kujishaua huyo shem wako malaya amekutamani tu so mchane live kuwa humtaki
Jana ilikuwa siku ngumu kwangu,mpenzi wangu baada ya kuishi nae kwa muda wa miaka 3, Jana alinitamkia tuachane anadai mi niko busy sana kiasi sina muda na yeye ukweli tumefanya mambo mengi pamoja tuna nyumba na kiwanja kimoja ila yeye anadai eti tubaki kuwa marafiki na tusiache kuwasiliana...
nasikia wana kamchezo ka kukeketwa,kuhusu kutoa uroda kwa marafiki jiandae kwa hilo mi nilishawahi kuwa na mpenzi mrangi dada yake naye akawa anataka mpomongo wangu but ckumpa hiyo nafasi so jipange sanaaaa.......!
Acha kujisahaulisha,u can't live all along some time u must find some one who can take good care of u,understand u and much more the one with truly love,au unajichua?!!
mbona mtoa mada kama analalamika hivi,watu wa Arusha wana haki ya kuchagua watu au chama wanachohisi kitawaletea maendeleo.Jambo la msingi ni polisi kutambua wajibu wao waache kupelekwapelekwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.