Amatus Liyumba na Mkewe wagombea mali

Amatus Liyumba na Mkewe wagombea mali

ni kama filamu ya kihindi vile,ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga,mwacheni ahangaike mwisho wake atalala chariiiiii......
 
Yasemekana tatizo Amatus hataki kuwaonyesha mafichoni anakoishi na nyumba ndogo kwani alihama Nyumbani kwake pindi alipotoka jela na Hana mawasiliano na mtu hatumii simu ya mkononi wala landline phone .sasa wanafamilia wako wanahofia Nyumba ikiuzwa hawatapata kitu alisikika mkeo akilalamika kituo cha polisi wazo hivyo huenda sakata likachukua sura mpya na kuibua Vioja vingi
nyumba ndogo?daah jamaa kumbe ufisadi hadi kwe mapenzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huruma ya Mwenyezi Mungu iwe naye apumzike kwa amani. Maana hatuna uwezo wa kuhukumu isipokuwa yeye
 
TAYARI MKEWE KAMZIDI KETE...AMEMDEDISHA ILI ARITHI KILA KITU. CHEZEA WANAWAKE WA KIPARE WEWE!
 
Yasemekana tatizo Amatus hataki kuwaonyesha mafichoni anakoishi na nyumba ndogo kwani alihama Nyumbani kwake pindi alipotoka jela na Hana mawasiliano na mtu hatumii simu ya mkononi wala landline phone .sasa wanafamilia wako wanahofia Nyumba ikiuzwa hawatapata kitu alisikika mkeo akilalamika kituo cha polisi wazo hivyo huenda sakata likachukua sura mpya na kuibua Vioja vingi

Tuheshimiane bhana, mke wangu anahusikaje hapo?? [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom