kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Pindi nilipokuwa na miaka 15, nilikuwa nawatokea mademu wenye miaka 20 mapaka 25. Ilikuwa vigumu sana kukubaliwa, nakumbuka kuna siku mpaka nilipigwa kibao. Mara nyingi waliniambia huna heshima etc. You know your age? And bla bla bla!!!
Lakini sasa mimi ni yuleyule kijana nina miaka 25, lakini nina date na mademu wenye miaka 30 na pengine miaka 40. Kitu ambacho naambiwa na hawa hawa now, Age is just a Number, kitu kinachojalisha katika ndoa ni upendo.
Ladies why?
Aminia!
Lakini sasa mimi ni yuleyule kijana nina miaka 25, lakini nina date na mademu wenye miaka 30 na pengine miaka 40. Kitu ambacho naambiwa na hawa hawa now, Age is just a Number, kitu kinachojalisha katika ndoa ni upendo.
Ladies why?
Aminia!