Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

sijafika Arusha ila nadhani Mbeya nizaidi ya Arusha maana watu wengi hawakuwa na taarifa na huu mkutano, walituonea wivu sana mitaani. Labda daftari lisiboreshwe otherwise magamba hawata kata hata moja Mbeya. Coz maeno yaliyokuwa ngome yao sasa ni kinyume chake
Aluta continua, mpaka wakae.
 
nawakubali chadema, lakini sijawahi kuiona katiba yao ya chama
Nipo pamoja na chadema
 
nawakubali chadema, lakini sijawahi kuiona katiba yao ya chama
Nipo pamoja na chadema

mkuu, as long as umeweza kupost thread hp jf nakta unauwezo wa kubrowse. Google neno chadema then katiba utaipata.
 
nawakubali chadema, lakini sijawahi kuiona katiba yao ya chama
Nipo pamoja na chadema

mkuu, as long as umeweza kupost thread hp jf najua unauwezo wa kubrowse. Google neno chadema then katiba utaipata.
 
What???
maccm mafisadi wanyanyasaji bye bye

attachment.php


attachment.php

Mafisadi mpoooo??????
 
Mafisadi tumewachoka, sasa tunachagua watu wanaotuthamini hatujali kama ni wasanii wa bongo fleva au wauza chumvi sokoni...mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom