Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Jfunze kujitegemea lipa kodi acha kupenda vya bure.Labda ndio sababu wameweka kodi ya kadi za simu ili kujinusuru...!!
Jfunze kujitegemea lipa kodi acha kupenda vya bure.Labda ndio sababu wameweka kodi ya kadi za simu ili kujinusuru...!!
Unajua maana ya kufilisika za kuambiwa changanya na za kwako.Kwa jinsi hali ilivyo huku mtaani naiamini hii habari bila shaka. Ni muda muafaka kwa serikali kukiri imefilisika ili tujue tunasavaivu vipi...!
Umeona eeeeeeeee!,tatizo kunawatu wanakula chakula kingi mpaka uwezo wao wa kufikiri unaisha.Porojo zingine hazina hata mshiko.
Serikali ina Fedha nyingi tuu. Kwa sababu wanauwezo wa Kubandua Barabara za Dar es salaam na Kuzijenga upya tena kwa kiwango cha kimataifa. Angalia Morogoro Rd, Mwai Kibaki Rd Old and New(aka Bagamoyo Road). Mikoani ndio usipime nasikia kila kijiji kinaunganishwa kwa Lami au Reli na Viwanja vya Ndege kila Mji. Miradi yote hii si Pesa ya Serikali?
Porojo zingine hazina hata mshiko.
Itabidi chadema waache kupewa ruzuku kwanza wanaishia kuzichezea tu kwa kujikopesha kwa matumizi binafsi.
Porojo zingine hazina hata mshiko.
Jfunze kujitegemea lipa kodi acha kupenda vya bure.
Serikali yenu hii ya kifisadi iko hoi kwakuwa imekuwa legelege katika kukusanya kodi, ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma.
Hali ni mbaya sana na muda si mrefu nchi itaporomoka hii kwa sababu ya mandondocha ya ccm na serikali yake.
Jfunze kujitegemea lipa kodi acha kupenda vya bure.
Ni wiki chache zilizopita kikao cha Bunge cha bajeti ya 2013/2014 kuanzia July 2013 mpaka June 2014 ndio kimemalizika. Sasa hata mwezi wa kwanza wa mwaka wa fedha wa Serikali haujaisha tayari Serikali imekwishafilisika!!!!
Nchi ina utajiri mkubwa lakini bajeti ya Serikali ya mwaka mzima haimalizi hata mwezi kabla haijafilisika!!! Kweli hii Serikali ni Serikali ya kisanii.
Hii habari ina ukweli wowote?
Wao mwananchi wameambiwa kuchangia kiasi gani.