Sio kwa wanaume tu...Mimi imenitokea nimemsomesha mwanaume Masters alipomaliza huyo akasepa zake..kaenda kwa wengine...both genders ni tatizo hilo..unajitoa kumsaidia mtu ukijua kuna future kumbe mwenzako Ana lake moyoni
Mkuu hivi unaweza kuomba ushauri kumuacha mpenzi wako??maamuzi ni yako ni yako mwenyewe kwani wakati unamtongoza ulikuja Jf kutuomba ushauri ?halafu mi sioni sababu ya msingi ya kumuacha huyo mwanadada..after all unaonekana wewe mbahili sana ...hivi ww ukute mpnz wako hata kipato chochote hata...
Ila nadhani kuna sababu....haiwekani hivi hivi mwanamke adai talaka without a strong reason...kuna sababu tena kubwa tu..kama ww ni mtu wao wa karibu jaribu kukaa na mmoja moja kila mtu kwa muda wake na pasipo wao kufahamu then utajua tatizo lipo wapi.. Watu tunazitamani ndoa tumechoka kuwa...
Nilikuwa mbioni kuagiza Xtrail mwezi December.. Ila naona michango mingi ipo negative kuhusu aina hii ya gari...naombeni ushauri ni gari gani nzuri ya juu ...sitaki hizi ndogondogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.