MtuFulani8
Member
- Jun 27, 2015
- 92
- 21
- Thread starter
- #21
Upo tayari kupima vvu,genetics disease?
Yes coz I want to be secure! Hayo yote kuzingatiwa!!
Upo tayari kupima vvu,genetics disease?
Hao Wawili Niliokutajia Wapo Available 24/7 Halafu Hawana Wanaume. Jitahidi Tu Na Utang'oa Kwani Ni Maji Mara Moko.
Mmmmmhhhh!! Hawezi kuwa device bhana!! Yy anabaki kuwa mwanamke tu!
Unaijuwa kazi ya incubator?
Tuliza Ball.
Basi aliyekuwa anahitaji kama lako hakidhi vigezo vya umri yupo juu ya 43.
Hahahaaa hapa jamvini utampata lkn masharti kuzingatiwa ukizingua tu mtoa mada hata mimba hutaionaaa....wanakuja
Nawasubiria waje tufanye mpango
Mtt unamuitaji kivip je akishazaliwa unamchukua ndio maana yake
Ila uwe makini... hebu weka vigezo vyote wazi watu waonee wajipime wanaweza kupita! Naukapata aseee
Ha ha ha ha ha ha ha!! Vigezo ni kama ifutavyo; Asiwe amevuka 30 years, awe mcha Mungu, Mstaarabu, awe na elimu japo kuanzia diploma, awe na kipato cha kueleweka, awe mzuri wa sura na tabia (maana mtoto anarithi pia kwa mama),mwisho kabisa awe anajitambua!!