Kwa wanaume: Usithubutu kumsomesha mke, mchumba, mpenzi

Kwa wanaume: Usithubutu kumsomesha mke, mchumba, mpenzi

Hapo ndio tunakubaliana na ukweli kuwa mwanaume huamini tabia ya mwanamke anayomkuta nayo wakati anamuoa haitabadilika lakini tabia hiyo hubadilika.
 
Sio kwa wanaume tu...Mimi imenitokea nimemsomesha mwanaume Masters alipomaliza huyo akasepa zake..kaenda kwa wengine...both genders ni tatizo hilo..unajitoa kumsaidia mtu ukijua kuna future kumbe mwenzako Ana lake moyoni
 
Ahh umpeleke au usimpeleke kama ni wa kuchapwa utachapiwa tu. Tena bora akachapwe mbali huko usijue kuliko achapwe a wacongo wa saluni ujue
A%20S%20shade.gif
 
Kulizwa na mpenzi kunatokana na Hulka yake.
Hata ukimsomesha cookery.. Ataenda kumpikia mwingine
 
Hii ni personal insecurity, wengi wanajipa moyo kwamba wanapendwa kwa kutowapa wenzi wako exposure.
 
We forget that life is linked to learning, no matter whether in formal or informal ways. when she is part of you (husband and wife) it is you living in her part, it is your task to cultivate her mind for productivity.

The problem is not going to school, the problem is being apart from each other. Most women who act against their marriage vows when away from home they are victims of men's untrustworthy experience. And so when the woman is away a man reduces his contacts with her to freely deal with his present side dishes! eventually with time wife readjust with her present company she can fall into a trap easily.
I have seen men who care, visits and feel their wives and complete their schooling wherever with their mental grown still faithful.
Man where do you want women to be not to meet people? school, work, market! all places are full of people she can meet, even at home comes guests. It is your choices as man that's makes a woman behavior.
Expenses are there to remain even though you may choose her to remain at home.
 
usijaribu kusomesha mtoto wa mtu, wakati waliosomeshwa tayari wapo(ready made are widely available and cheap)! dont try this at home, school or anywhere!
 
Back
Top Bottom