Mi juzi nilimwambia my nephew hawa watoto wa siku hizi sijui Meek Mills,Drake et al ..kuimba hwajui kanibishia moaka mishopa ya uso na shingo ikamtoka..
I am mid 30s,basically ni generation ya kina Nas,Eminem,Jay Z,the Game,2 Pac et al..huwa napata burudani nikisikiza hawa wan..hawa watoto wa...