George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,913
Ni jioni tulivu, nachukua KIFAA changu kisha naanza kupekua pekua kwenye kwenye "folder" la HIPHOP...
Nakutana na albamu ya Jay Z inayoitwa "The Blueprint", naamua kuzicheza ngoma zote kwa pamoja, yaani chuma baada ya chuma, asikuambie mtu "The Blueprint" ni bonge moja la kitu kutoka kwa Jay Z...
Nikiwa naendelea kusikiliza "mawe" ya kibabe kutoka kwenye hii albamu "KONKI", mara paap RENAGADE hiyo, kwenye hii "ngoma" Jay Z amemshirikisha Eminem...
Unyama alioufanya Eminem kwenye huu wimbo ukanifanya niurudie zaidi ya mara 10...
Hakika Eminem ni GOAT wa muziki wa HIPHOP..!
Nakutana na albamu ya Jay Z inayoitwa "The Blueprint", naamua kuzicheza ngoma zote kwa pamoja, yaani chuma baada ya chuma, asikuambie mtu "The Blueprint" ni bonge moja la kitu kutoka kwa Jay Z...
Nikiwa naendelea kusikiliza "mawe" ya kibabe kutoka kwenye hii albamu "KONKI", mara paap RENAGADE hiyo, kwenye hii "ngoma" Jay Z amemshirikisha Eminem...
Unyama alioufanya Eminem kwenye huu wimbo ukanifanya niurudie zaidi ya mara 10...
Hakika Eminem ni GOAT wa muziki wa HIPHOP..!