Mkuu unazungumzia uzoefu katika upeo mdogo sana.Kutoka nje kuna faida sana unajifunza namna bora ya kufanya mambo.
Toka kama una nafasi hutojuta wala kupoteza muda.
Tatizo la Tanzania wala sio hizo kodi,sijui VAT n.k. Tatizo ni mfumo wetu wa kufikia kiasi na namna ya kulipa.
Kwanza, hujaanza hata biashara unalipa kodi. Yaani kodi inabidi uiweke kabla hata hujapata hiyo faida. Ukisajili kampuni tayari unalipa kodi.
Pili,kodi zetu bado zipo kwenye...
Unaandika kama mpumbavu, Unafikiri watu hawajui taratibu unajua wewe tu.
Transactions zimekua ngumu sana kwa sasa, wiki 2 unafuatilia muhamala wako.Ujinga mtupu.
Hivi maadili ya kitanzania ni yapi hasa, ambayo hao wazungu hawana?
Manake naona wenzetu wana maadili kuliko sisi, Sisi tuna uvivu mwingi, hatujali muda, wizi wizi tukipewa nafasi n.k
Labda maadili ya kimaskini ndio tunayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.