Mna maneno mengi sana wadauArteta tumepigwa huyu, yy hakikutana na timu kubwa ni li mpira la kujihami tuu. Bwege sana huyu kocha
Tulia wewe.😆😆😆😆
Tulia partner 😆Tulia wewe.
Halafu wewe sasa hivi si umetoka kukaziwa
Arteta ni muoga sijapata kuona. Timu kupang tu imemshindaMna maneno mengi sana wadau
Man City inafungika vizuri tu,dakika za mwisho timu imeonyesha uhaiPepe hii game ameitendea haki
Yaani wewe unalotaka tufungweTulia partner 😆
Bado sanaWale washkaji waliosema tuna kikosi cha ligi...
Nta comment after Full Time whistletimu yetu udhaifu wake mkubwa ni kushindwa kupata point 3 away kwenye big 6 games ,imagine last season against Tottenham Hotspur tulikuwa na ball possession almost 80 % then matokeo yakawa Tottenham 2 -1 Arsenal Full Time sijui nani katuloga tukiwa away vs big 6 ,kama mechi ya leo ni 50 kwa 50 ila usije kushangaa mwishoni mechi ikaisha vibaya
De bryune ni roho ya Manchester City kutokuwepo kwake ni bonge la advantage
Auba naye akaze matako sasa aanze kufunga magoli wenzake wanakimbizana kwa Magoli huko
Hebu tulia mkuu.Wale washkaji waliosema tuna kikosi cha ligi...
Kikosi kipo mkuu. Tuna kocha muoga kupitiliza. Hii timu apewe Marcelo Bielsa, utaipenda sansWale washkaji waliosema tuna kikosi cha ligi...