Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikosi kipo mkuu. Tuna kocha muoga kupitiliza. Hii timu apewe Marcelo Bielsa, utaipenda sans
Bob unajua kama Bielsa na kikosi chake wanacheza 4 1 4 1? Hivyo ni lazima watashambulia lakini kwakua hawana defense na wenyewe wanatunguliwa nyingi pia.

Bielsa hajali anashambulia kila mechi. Its the reason hata akifungwa atahesabiwa alifight. Unlike Arsenal.
 
Bob unajua kama Bielsa na kikosi chake wanacheza 4 1 4 1? Hivyo ni lazima watashambulia lakini kwakua hawana defense na wenyewe wanatunguliwa nyingi pia.

Bielsa hajali anashambulia kila mechi. Its the reason hata akifungwa atahesabiwa alifight. Unlike Arsenal.
Timu ya ku level na city tunayo mkuu. Japo kocha kiukweli simuelewi kabisa.
 
Hili jukwaa ukipita katikati ya wiki utasema hakuna team inayoweza kuifunga arsenal maana upangaji wa kikosi na mauchambuz ya hapa na pale utakubali ila ukija siku ya mechi kila mtu analalamika kuliko mwenzake
Auba kapigwa misumari aisee
 
Screenshot_20201017-212513_All%20Goals.jpg
 
timu yetu udhaifu wake mkubwa ni kushindwa kupata point 3 away kwenye big 6 games ,imagine last season against Tottenham Hotspur tulikuwa na ball possession almost 80 % then matokeo yakawa Tottenham 2 -1 Arsenal Full Time sijui nani katuloga tukiwa away vs big 6 ,kama mechi ya leo ni 50 kwa 50 ila usije kushangaa mwishoni mechi ikaisha vibaya

De bryune ni roho ya Manchester City kutokuwepo kwake ni bonge la advantage

Auba naye akaze matako sasa aanze kufunga magoli wenzake wanakimbizana kwa Magoli huko
Manchester city 1-0 Arsenal Full Time nlisema before Match started

Hii timu imerogwa na aliyeiroga Wenger ndo anayemjua!No excuse at all! Kila mechi ya away vs big 6 tunapoteza!

Mechi za Away dhidi ya Manchester United Spurs Chelsea Leicester na Everton Naapa hatutaambulia kitu
 
Now kama mnahisi leo tumejitahidi kwa kufungwa moja bila basi haukuona game iliyopita.

Bado nilichopoint kinamatter. Tulimhitaji Aouar kuliko Partey waliodai kazi ya Aouar itafanywa na Ceballos mmejionea.

So narudia tena. Usajili wa Partey ni mkurupuko same na na man u kwa Cavani.
 
Back
Top Bottom