Recent content by kiassy

  1. kiassy

    Mada ya wanyama

    Weeeeeh!
  2. kiassy

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nisaidieni Kuna wimbo siujui jina ila kiitikio unaimbwa....akishalewa pombe balaaa,akishalewa pombe ni fujo.
  3. kiassy

    Janga la Hisabati: Tuanzie Hapa

    3¼ au 3.25.....leta vocha chap
  4. kiassy

    Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

    Hilo ni move...mtuhumiwa hapaswi kuwa na kitu chochote,ikiwemo mkanda,kifaa chenye ncha Kali na mengineyo....inawezekanaje kuwe na dekio Tena lenye uwezo wa uzima na uimara hivyo? Waache kutufanya wajinga
  5. kiassy

    Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

    Hii ni usuall things.....Mimi mke niliye nae kaniaproach na huu ni mwaka wa 7 ktk ndoa
  6. kiassy

    Tatizo la marefa wa Kitanzania lilishatengenezwa muda mrefu na TFF awawezi kulikwepa

    Ni ukweli usio pingika wkt yanga wanalalamika waamuzi Simba na wachambuzi wao wakukaa kimya na kuwabeza eti hawanakikosi....Leo mkuki kwa nguruwe na hasa nilitamka wazi mpira wa tz tff ndio anapanga Nani awe bingwa bila hivi yanga mwaka Jana wangetwaa ubingwa Ila walinyanyaswa Sana kwa Hy muwe...
  7. kiassy

    Kinyaa penati ya Yanga vs Namungo

    Wanachama wa yanga kipindi wanalalamika kwamba tff na Simba wanapanga matokeo watu walikataa....mwaka Jana tu palepale namungo stadium walikataliwa yanga goli ambalo Simba wqlifungwa na kaiza chif kule kwa madiba.....wakasetiwa suluhu nyingi,yanga wakatamka wazi kuwa wangejitoa ligi hapo marefa...
  8. kiassy

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    Tumepigwa na kitu kizito kichwani......
  9. kiassy

    Natafuta mtoto wa kulipia Ada form one kijijini

    Umeonesha Nia....tutakutafuta huku kijijini Hali ni mbaya hakuna ada Ila date,daftari,na baiskel maana shule ziko mbali na makazi nitakutafuta
  10. kiassy

    Mheshimiwa Simbachawene amkaaa !!!!Jitathimini kama unatosha!!!

    Tatizo sio waziri tatizo ni mfumo mzima....jeshi la polisi limepewa meno ya kung'ata yeyote na kwa vyovyote aliye raia wa kawaida na mlengo wa nyuma.kipigo,kudhurumu,kubambikia,Sasa nchi za watu serikali imeandaa raia kujitambua hapa kwetu ukihoji tu kwa nn mnanikamata unapigwa wewe mmh.
  11. kiassy

    Polisi kuwapiga raia huu ujeuri wanautoa wapi? Naomba mwenye ushahidi wowote wa raia wa Tanzania kupambana na Polisi auweke hapa

    Ni aibu kwa taifa Ila wananchi hatujitambui hao police so tunaishi nao? Kwann tusilipize
  12. kiassy

    Rais Magufuli hakuwa dikteta bali vyama vya Upinzani havijui maana ya Demokrasia na wajibu wao

    Mwandishi huna unachokijua acha ujuaji kuhusu siasa za tanzania
  13. kiassy

    Tusifuatilie sana vita ya CCM kwa CCM, Wanajuana hao

    Hapo kwenye mboe sio gaidi nimeelewa sana
Back
Top Bottom