Nimependa jina lako
CHINEMBE
CHINEMBE
Haya ni maoni yangu, usajili was Chadema kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kioindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili was chadema ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha