Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,723
Nimeona mapovu mengi sana yakiwatoka mashabiki na wadau wengine juu ya penalty aliyopewa Yanga dhidi ya Namungo, Ni ajabu sana kuitolea macho penalty ya jana wakati matukio kama ayo yanatokea Sana na watu wanakaa kimya kwakuwa tiyali anaefaidika anakuwa keshavuna point zake.
Matukio kama haya simba ndiyo vinara wa kufaidika nayo karibia misimu 3 iliyopita na mpaka sasa ingawa nguvu yao ya kiuchumi kutengeneza mazingira ya nje ya uwanja imekumbana na upinzani mkali kutoka kwa yanga na gsm msimu huu, ivyo basi kinachotokea ni vita kali na mmoja anapozidiwa ujanja ndo unaona mapovu kama yote.
Msimu uliopita yanga alikuwa muhanga wa maamuzi mabovu ya marefa na tff walikaa kimya ivyo ivyo misimu 2 nyuma, sasa kwakuwa haramu ilionekani halali mwendo utakuwa ni hivi hivi kwa timu kubwa kubebwa na marefa, yanga akibebwa kaeni kimya kama mlivyozoea na simba akibebwa pia pigeni kimya, ndo tulikofikia kwa sasa, sio giant mmoja akiona ameshikwa masikio aanze kuibua malalamiko yasiyokuwa na kichwa wala miguu, mara fair competition mara hivi Mara vile ni ujinga kwakuwa mambo yamewageukia,
Matukio kama haya simba ndiyo vinara wa kufaidika nayo karibia misimu 3 iliyopita na mpaka sasa ingawa nguvu yao ya kiuchumi kutengeneza mazingira ya nje ya uwanja imekumbana na upinzani mkali kutoka kwa yanga na gsm msimu huu, ivyo basi kinachotokea ni vita kali na mmoja anapozidiwa ujanja ndo unaona mapovu kama yote.
Msimu uliopita yanga alikuwa muhanga wa maamuzi mabovu ya marefa na tff walikaa kimya ivyo ivyo misimu 2 nyuma, sasa kwakuwa haramu ilionekani halali mwendo utakuwa ni hivi hivi kwa timu kubwa kubebwa na marefa, yanga akibebwa kaeni kimya kama mlivyozoea na simba akibebwa pia pigeni kimya, ndo tulikofikia kwa sasa, sio giant mmoja akiona ameshikwa masikio aanze kuibua malalamiko yasiyokuwa na kichwa wala miguu, mara fair competition mara hivi Mara vile ni ujinga kwakuwa mambo yamewageukia,