Mm naona inategemea huyo mwanamke umemtongoza vp wangine hata kutongoza hawajui na vle vle kuna baadhi ya wanawake ni lazima kwanza afikirie hasa yule aliemgeni wa jambo kama hili na si changudoa
Nynyi hamna kuoa ni waharibifu muoaje hajisifu hata siku moja na kama unataka kuoa bc tafuta watu wazima kwanza watakutafutia mwanamke wa heshima sawa? Lkn sikuhizi hakuna mapenzi kwani vijana wa siku hzi kwanza mpaka waonjane kwanza ndoa baadae jamani tutafika kweli?
Hili tatizo linaweza kuondoka iwapo utaachana na tabia au dhana kama hyo kwani hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa kwa hyo hilo jambo linaweza kuondoka cha kufanya kwanza ondoa mawazo hayo pili fikiria kwanza sawa?
Nafikiri hajapata matatizo huyu mwanamke kwani hata kama kakosea ila sio afanye kitendo kama hichi hata siku moja ila labda kapanda hasira na waswahili wanasema hasira hasara gebu tucheki siku za mbele
Habari yako dada mambo vp sijui uko wp au unaishi wap mm ni muislaam kamili nimepokea kwa ufasaha tatizo lako sasa nitakupata vp ili tukae na kuongea hilo jambo mm niko znz sawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.