Nawauliza wanaume tu tafadhali nijibuni

Nawauliza wanaume tu tafadhali nijibuni

Ni vizuri maana sisi wengine ukituzungusha wiki tunakata tamaa sasa kama hukua na nia kukataa unakuwa ushatupoteza.
 
Mm naona inategemea huyo mwanamke umemtongoza vp wangine hata kutongoza hawajui na vle vle kuna baadhi ya wanawake ni lazima kwanza afikirie hasa yule aliemgeni wa jambo kama hili na si changudoa
 
Eti wakina kaka msichana akitogozwa kwa Mara ya kwanza then akakubali then siku iyoiyo akaachia miguu na kutoa tunda eti kunatatizo? Maana naona hakuna haja ya Kubana akati kuna siku utaachia tu
Hakuna tatizo lolote!Ni mitazamo hasi waliyonayo baadhi ya watu.
Mie sioni tatizo mwanamke akinitongoza/akinipa papuchi siku ya kwanza tunaonana.... TENA NDIO NTAPENDA MARADUFU!
 
Hakuna tatzo..sema u need to prove u dd it out of love n nothn else...
 
ata wewe mshana jr ulivyo qoute post yangu huna staha ila mimi najua si kiungo cha mwili aya mwambie moods wanipe ban
 
Dunia inamambo na kwa Mungu kaseme hivohivo alinitongoza siku hiyohiyo, nikamkubalia alafu nikampanulia sku hiyohiyo kwan kuna kunatatizo, Shenz ww kasoro mkia
 
ata wewe mshana jr ulivyo qoute post yangu huna staha ila mimi najua si kiungo cha mwili aya mwambie moods wanipe ban

Hapana si kazi yangu kuwachagulia mods nani wa kumpiga ban bali ilikuwa ni haki yangu kuongea kile nilichokiona hakiko sawa
 
Sasa huyo atakuwa na tofauti gani na yule wa pale kona bar au pale kinondoni?
 
Inakuwa imekaa pouwa sana wengine huwa hatupendi usumbufu,nimekufuata,nimekueleza umeelewa,kunahaja gani kusumbuana? Nipe nikupe ndio habari yamjini sio unisumbue mpaka hamu iishe
 
Back
Top Bottom