Nahitaji mume..

Nahitaji mume..

mbona una umri mdogo sana kufika hatua ya kutoa tangazo.
umekata tamaa mapema sana

Halaf mdogo wapi udogo wake unaujua ulipo!!baridi kalii mwache mwenzio atafute anachokitakaa
 
Halaf mdogo wapi udogo wake unaujua ulipo!!baridi kalii mwache mwenzio atafute anachokitakaa

na atakipata soon, mabazazi washam PM tayari, wanaenda kumtest bibie siku si nyingi.
 
Mtoto Acha kuota, nenda kasome na fanyakazi .
Hicho unachotafuta ni kupoteza muda.
 
hapa unamaanisha atoke teamrafiki ama?

nahsi anamaanisha kuswali,kufunga na kufata yale yote anayoyata mungu ikiwa nipamoja na kuacha yale yasiompendeza mungu.samahani kwa kuyajibu haya.ila kama nimekosea atakuja kujibu
 
nahsi anamaanisha kuswali,kufunga na kufata yale yote anayoyata mungu ikiwa nipamoja na kuacha yale yasiompendeza mungu.samahani kwa kuyajibu haya.ila kama nimekosea atakuja kujibu

usijali... ila swali kwa Queen Horse, wanaume wa kiisilamu wanaruhusiwa kuoa wanawake wanne!!

je kwa masharti aliyoweka... hali hiyo ataichukuliaje?
 
Last edited by a moderator:
Mimi hapa ninazo sifa zote unazozitaka. Ila ni mpenzi wa kula 0713 uko tayari.
 
Habari yako dada mambo vp sijui uko wp au unaishi wap mm ni muislaam kamili nimepokea kwa ufasaha tatizo lako sasa nitakupata vp ili tukae na kuongea hilo jambo mm niko znz sawa?
 
Huyu sio mwolewaji....pm hajibu anapewa namba hapigi cm, sasa tusemaje! Najuta kufunga na moyo wangu ah..!
 
Dada yangu mi sikubezi kwa hiki ulichokifanya ila mume mwema hatoki jf hutoka kwa bwana, humu yamejaa mafisi yakikunasa yatakulamba mpaka kamfupa ka kiuno ohoooo, cheka nao humu humu ujue unachat na majini, mazombi pia humu.

Ungekuwa msaada mzuri kwake kama ungemjulisha anakopatikana bwana ili akatafute mume huko. Halafu wewe unajibu kutoka wapi hata useme humu wamejaa wenye sifa hizo mbaya ulizozitaja?

Ninachojua mimi ni kwamba anaweza kupata amtakaye humu humu.
 
Mimi binti mwenye umri wa miaka 24, elimu yangu ni ya shahada, dini muislam pia ni muajiriwa. Natafta mume mwenye vigezo vifuatavyo: awe muislam mwenye elimu ya dini na dunia, awe na shughuli ya kumuingizia uchumi inayoeleweka, umri kuanzia 28 mpaka 34, kabila lolote lile, mwenye fikra chanya, heshima, busara na maadili mazuri
Vipi ulishampata? Kama bado twende PM.
 
Mimi hapa ninazo sifa zote unazozitaka. Ila ni mpenzi wa kula 0713 uko tayari.
umeshakosa kigezo cha elim ya dini, coz muislam anaefata dini haswaa kwa namna ya kuifata hawezi kujaribu kutumia backdoor
 
Mimi binti mwenye umri wa miaka 24, elimu yangu ni ya shahada, dini muislam pia ni muajiriwa. Natafta mume mwenye vigezo vifuatavyo: awe muislam mwenye elimu ya dini na dunia, awe na shughuli ya kumuingizia uchumi inayoeleweka, umri kuanzia 28 mpaka 34, kabila lolote lile, mwenye fikra chanya, heshima, busara na maadili mazuri

Weka picha malkia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom