Napenda wanaume maarufu

Napenda wanaume maarufu

Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi,
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa katika mahusiano na mwanaume maarufu najisikia nipo salama sana hata kama hanisaidii chochote nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatizo nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lakini hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo.

Kama mrisho mpoto au?
 
...what if akiwa anachangamsha genge!! Kuamini kila kinacholetwa huku ni hataree...

Anachangamsha kwa faida ya nani maana sidhani kama kuna mtu anafurahia huu upuuzi
 
Nilishakwambia wee mtusi umetumwa kazi maalum hapa tz ukagoma, unaona hapo penye red.
Na hao watu maarufu kama wanaingia humu wajionee wasikupe siri za nchi,tutaishia yale ya delila na samson.
una akili yenye nguvu sana bado naunganisha matukio ila Huyu binti namfaham kwa sehem na nadhani ulichosema ni kweli#rejea movie ya salt asa sijui kama atafanikiwa nikimuangalia naona lengo linafeli wito kwa watanzania Hawa mabinti wa kitusi ni wengi sana kwa sasa Tanzania na baadhi wapo kuganga njaa na wengine kazi maalum hata ikitokea mmependana gonga acha usiuze nchi wengi hujiita wasukuma au wahaya lakini ni Watusi hapa chuoni ndio lundo sijui tufanyeje kuwazuia.
 
Anachangamsha kwa faida ya nani maana sidhani kama kuna mtu anafurahia huu upuuzi

..unataka kusema kila bandiko humu lina mchanganuo chanya?
....wangapi wanachangamsha genge humu...au kwa vile ni celebrities wa jf ndo maana hawapigwi mawe?
 
Itume kwa inbox nione...
..hiyo avatar si umeiazima bana...!!

Sasa inbox imekujaje, mie nimekwambia I resembe my avatar na sikuwa hiyo avatar ndo mie hapana nimefanana nayo kwa asilimia 80, hapo unaweza kupata taswira nafananaje. I know that avatar is not mine and is not me I just resemble it so no need of inboxiana looh just look at my avatar then u can guess my age.
 
Sasa inbox imekujaje, mie nimekwambia I resembe my avatar na sikuwa hiyo avatar ndo mie hapana nimefanana nayo kwa asilimia 80, hapo unaweza kupata taswira nafananaje. I know that avatar is not mine and is not me I just resemble it so no need of inboxiana looh just look at my avatar then u can guess my age.
Kasinde bana..ya nini Ni guess wakati waweza nipa real picture bhana!!
...wewe nikoshe roho, baas!!
 
Last edited by a moderator:
ukiwa DSM, unapatikana location gn kati ya hz? vingugnguti, tandale, uwanja wa fisi, bonde la mpunga, spenko, tandika, shimo la udongo, kajiungeni, mlalakuwa, kwa mama zakaria, maji matitu!
 
Hili tatizo linaweza kuondoka iwapo utaachana na tabia au dhana kama hyo kwani hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa kwa hyo hilo jambo linaweza kuondoka cha kufanya kwanza ondoa mawazo hayo pili fikiria kwanza sawa?
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi,
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa katika mahusiano na mwanaume maarufu najisikia nipo salama sana hata kama hanisaidii chochote nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatizo nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lakini hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo.
hii hali imekutokea baada ya kuachana na yule mkurya ama ulikuwa nayo toka zamani?

By the way, mwanaume mwanaume tu, status ni mpiyo tu, at the end utachezea mtwangio!

kazi njema!
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi,
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa katika mahusiano na mwanaume maarufu najisikia nipo salama sana hata kama hanisaidii chochote nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatizo nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lakini hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo.

Kwanza sio tatizo. Kila mtu ana moyo wake wa kupenda, mwingine akimuona kilema ndo anazidisha mahaba yake yote yanadondokea hapo, je utasema ana tatizo?, hapa sio tatizo ndio kupenda kwenyewe. Kuwa na mwanaume utakaemfurahikia, mwanaume moyo wako utaemridhia maana ukiwa na mwanaume haumridhii basi furaha inatoweka, kwanini ujinyime furaha yako? Lakini pia wanaume maarufu wana wanawake wengi pia, sasa kama ni sawa kuchangia sio mbaya, na pia bora uchangie kwa mwanaume mwenye jina kuliko kuchangia kwa mwanume hata hana jina hata hana pesa lakini bado anawanawake 10 kidogo nje.

Lakini kama bado wataka kubadilika mwenyewe pia yawezekana, kwanza jibadilishe ww mwenyewe, badilisha taswira yako kimawazo na kimaisha, yaan maongezi, mavazi, sehemu za outing badilisha, mambo kama hayo, chat na wanaume wote, atatokea tu mmoja utamridhia, naamini hilo.
 
hii hali imekutokea baada ya kuachana na yule mkurya ama ulikuwa nayo toka zamani?

By the way, mwanaume mwanaume tu, status ni mpiyo tu, at the end utachezea mtwangio!

kazi njema!

Kabla cjaachna nae ilkuwepo
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi,
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa katika mahusiano na mwanaume maarufu najisikia nipo salama sana hata kama hanisaidii chochote nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatizo nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lakini hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo.

copy and paste kutoka kwenye blog fulani…
 
Back
Top Bottom