Recent content by khadijaa

  1. khadijaa

    Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

    Hiyo sebule M 30 unajengea dhahabu?
  2. khadijaa

    Wakuu mnawezaji kuwa chawa?

    ,88,7,,,7,8,77,7,,,77g,
  3. khadijaa

    Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

    Umeongea ukweli mtupu, wanaume wengi siku hizi anapokuwa na mchepuko njee huwa haoni thamani ya mke aliyenaye ndani, anamdharay sana tena akiwa homeless ndo kabisaa, mwisho wa siku anaanza kumlaumu mara oh mjeuri na vijisababu kibao, najua kuna wanawake kwwli wana visirani lakini trust me...
  4. khadijaa

    Ukishamzalisha umuoe. Sasa mnawazalisha ili waolewe na nani?

    Sio single mothers wote wameachwa kwa sababu ya kubweteka, wapo wenye kazi zao na wapo single, hapo inabidi itungwe sheria kwamba hakuna kumuacha mtu uliezaa naye, kama umezaa naye ubaki naye hakuna kuacha[emoji23][emoji23]
  5. khadijaa

    Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

    Ni bora kuishi peke yako kuliko kuwa na mwanaume mwenye wanawake kila mtaaa, period
  6. khadijaa

    Nauza Eneo lenye nyumba, kisima cha mradi kwa bei nafuu

    Kweli hali ngumu jamani, Eneo zuri hivi hamtaki kununua nyie mamilionea wa JF
  7. khadijaa

    Msaada dadangu anatafuta ajira

    Habari zenu. Nina dada yangu jamani huu mwaka wa 4 sasa hana kazi, ana shahada ya Mass communication ame specialized in public relation. Ameangaika kutafuta kazi sehemu tofauti mpaka leo hamna kitu. Jamani kama una connection huko msaada wako please.
  8. khadijaa

    Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

    Kuwa na adabu na uache dharau
Back
Top Bottom