Umeongea ukweli mtupu, wanaume wengi siku hizi anapokuwa na mchepuko njee huwa haoni thamani ya mke aliyenaye ndani, anamdharay sana tena akiwa homeless ndo kabisaa, mwisho wa siku anaanza kumlaumu mara oh mjeuri na vijisababu kibao, najua kuna wanawake kwwli wana visirani lakini trust me...
Sio single mothers wote wameachwa kwa sababu ya kubweteka, wapo wenye kazi zao na wapo single, hapo inabidi itungwe sheria kwamba hakuna kumuacha mtu uliezaa naye, kama umezaa naye ubaki naye hakuna kuacha[emoji23][emoji23]
Habari zenu.
Nina dada yangu jamani huu mwaka wa 4 sasa hana kazi, ana shahada ya Mass communication ame specialized in public relation.
Ameangaika kutafuta kazi sehemu tofauti mpaka leo hamna kitu. Jamani kama una connection huko msaada wako please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.