Nifanye nini Mume wangu aache pombe na sigara? Hakuwa hivyo zamani

nakushauri...jiangalie kwanza wewe....

kuna wapi unakosea? kama kayumba kiuchumi we ndio dawa, kama kagombana na watu dawa ipo kwako,kama hapendi nyumbani jini mbaya ni wewe....

mpende...muheshimu...msikilize na usisahau kama kuna kitu umefanya muombe msamaha...kama uliliwa hukujua atajua muombe msamaha,kama ni ulimloga kamzindue....

nimepita huko najua ninachoongea hakuna mtu mzima hajui anachofanya..kama upo nae karibu tatizo lisingekua pombe tatizo ungelijua..ndoa imekua ngumu maana upo mbali nae..

hamna mwanaume hajui anafanya nn..deep down kila kitu kiko organised.
wewe jiongeze...kama huelewi nicheki PM
Sinaga unafki..!
Mara nyingi mwanaume anapochoka kushauri na kero za kutosikilizwa nyumbani hutafuta namna ya kuiweka akili yake kuwa relaxed.
Asiyejua anaweza kutoa hukumu kwamba fulani amebadilika, lakini ukweli unabaki kuwa ameikatia tamaa familia yake. Anaona haimpi furaha kama mwanzo alivyotarajia.

Njia bora ninkurekebisha makosa, kutokumsema nje bali kumsikiliza na kumpa upendo.
Mheshimu naye atakusikiliza nankubadilika endapo tu ataona tatizo la mwanzo limeisha.
 
Hapo lazima chanzo ni wewe cha jamaa hadi kuwa chapombe kupindukia,wanawake nyie mnazingua sana ndani ya nyumba ,hasa mkishaizoea ndoa basi hamtimizi majukumu yenu ya kindoa ,mnajaa gubu,kelele na kero nyingine hadi mtu anaona ashinde tu bar arudi home night Kali kuepuka vuvuzela la mke wake,jitafakari unakosea wapi hadi mmeo kabadilika hivyo.
Usemalo lina ukweli mkuu bt ushawahi fikiria au kupitia maumivu ya kuona ndani huna mahitaji ya kutosha ila unajinyima mumeo asitoke ndani hana kitu mfukoni? Na kidogo hichohicho unachomsupport ndo anaenda kunywea pombe? pia isitoshe mnamtoto mdogo ila huoni support ya baba yakutosha
 
Pombe na sigara vinakuaffect wewe vipi?
Jaribu kuishi na mlevi tena anaelewa kwa pesa ambayo hajaitafuta yeye plus sigara ndo utajua inaaffect vp vinginevyo huwezi kunielewa mkuu pia imagine ile harufu ya kinywa kila inapoitwa leo ndo utajua kero yake haswa kama ww hutumii hiyo kitu
 
Sijui kama anatujali kwakweli ila kwa mtazamo wangu kwa sasa naona anajijali mwenyewe tu japo huko nyuma ni mtu ambae alikua ananijali sana bt toka tuwe na familia ni kama mambo yamebadilika

Kwa kweli hapo usiseme anajijali mwenyewe
Kwani hajui alifanyalo kwa hiyo hajijali wala hana muelekeo ni wa kumsaidia tu
Ila kama ana wazazi bora ungewashirikisha na kuwaomba msaada
Ikishindikana hapo basi haukuletwa duniani uteseke mama sawa
 
Kwa kweli hapo usiseme anajijali mwenyewe
Kwani hajui alifanyalo kwa hiyo hajijali wala hana muelekeo ni wa kumsaidia tu
Ila kama ana wazazi bora ungewashirikisha na kuwaomba msaada
Ikishindikana hapo basi haukuletwa duniani uteseke mama sawa
Wanajua maana huwa nawashirikisha na muhusika alipojua nilichambwa kuwa namgombani na familia yake
 
Wanajua maana huwa nawashirikisha na muhusika alipojua nilichambwa kuwa namgombani na familia yake

Pole sana
Usimpe hela huyo ale chakula tu
Huruma haifai wakati mwingine
Hebu wake up and smell the coffee my dear
 
Usemalo lina ukweli mkuu bt ushawahi fikiria au kupitia maumivu ya kuona ndani huna mahitaji ya kutosha ila unajinyima mumeo asitoke ndani hana kitu mfukoni? Na kidogo hichohicho unachomsupport ndo anaenda kunywea pombe? pia isitoshe mnamtoto mdogo ila huoni support ya baba yakutosha
Kama pombe anakunywa kupitia hela ya matumizi ambayo wewe unajinyima Ili mle,basi anakosea endelea kumrekebisha apungeze stress
 
😂😂😂😂😂huo unakuwa si mtamu kama wa mke kwani unajilia kwa raha zako siyo huo wa kununua huku umejificha ficha 😜😜😜
😂Sasa mtu aliyelewa anahofia nini,anateleza tu,
 
Back
Top Bottom