Recent content by keys

  1. K

    Baada ya kukataliwa katakata, Mbasha aamua kuchangisha michango ya harusi ya Flora

    mjukuu wa kulola ni flora ila mbasha ni mnyisanzu wa singida
  2. K

    Godbless Lema kuzungumza na wananchi wa Jiji la Arusha siku ya Ijumaa

    acha uongo..arusha ipi unayoiongelea wewe?ongelea nafsi yako wengine wala hatujamchoka
  3. K

    Hivi itakuwaje siku Makonda akijunga na CHADEMA?

    hata asipovileta ila ukweli umeshajulikana....tuliosoma nae tunamjua vizuri
  4. K

    Linda na Zari nani mzuri

    Hahahaaa...wote wameenda age lakini hawaoni ila linda ndo kiboko yaani huyu bibi simwelewagi Kabisa...wenzie wanaongezeka umri sambamba na busara na hekima ila yeye ni viceversa umri unaongezeka inversely propotion na hekima...hii ni laana kubwa kwa kweli
  5. K

    Linda na Zari nani mzuri

    Sioni hata point ya kuwalinganisha...linda ni jimama zima ila kutwa kwenye mitandao kushindana na watoto na kutukana!!??linda na zari labda wanafanana umri na mambo yao ya kitoto japo linda kazidi sana..mtu una miaka zaidi ya 40 lkn akili ya teenager !!!!hatari sana
  6. K

    Msaada-chuo cha ufamasia

    wadau naombeni anaefahamu chuo chochote kinachotoa mafunzo ya ufamasia au course za uuzaji wa maduka ya dawa kwa dar au arusha anijulishe. asanteni sana
  7. K

    Jengo walilopanga CHADEMA kama Ofisi, Mtaa wa Ufipa Kinondoni ni la Nani na kodi yake ni kiasi gani?

    kuwaamsha watanzania waliolala ni bora sana kuliko hayo majengo unayoyaongelea hata ofisi iwe chini ya mti kazi inaendelea...hutaki unaacha ..
  8. K

    Lema: Tunahitaji waziri mkuu serious

    we nae umemkomalia mbowe hadi unatia aibu...tabia za kike hizo, wewe mwenyewe mzinzi tu so huna usafi wa kumnyooshea yeyote kidole tatua matatizo yako kwanza kuliko kukaa bze kuongelea mahusiano yasiyokuhusu.Mbowe kuwa mwenyekiti inakuuma sana ila ndo hivyo huna jinsi itabidi ukubali tu...
  9. K

    Naombeni mnifahamishe kwa mwenye kujua

    Acha kuandika x badala ya s...!!dah
  10. K

    Possible qns- aptitute test PCCB

    Duh!seriously umenifanya nicheke sana ngoja niwahi zangu polisi sasa hivi
  11. K

    Possible qns- aptitute test PCCB

    wadau tujuzane possible questions kwa nafasi ya investigation officer..kwa waliowahi kufanya tafadhali msaada unahitajika kwa ajili ya maandalizi.Asante
  12. K

    Matumizi ya kifisadi ya Dr. Slaa kwenye ziara ya mkoa wa Kigoma, Singida, Tabora na Shinyanga

    hizo pesa za mfukoni huyo zito alikua anatoa wapi??????shughulisha akili yako kidogo hayo ni matumizi ya kawaida sana
  13. K

    Wanachadema wabunge wenu hawa wamewasaliti, na nyinyi lazima muwaadhibu 2015.

    hizo ni hisia zako na sio lazima wewe uwakubali ndo utushawishi....kajenge chama chako usipate pressure bure na cdm
  14. K

    CHADEMA: Mbowe atafuta wa kumrithi uenyekiti

    dah!uhai ni mungu anapanga ....unaweza kutangulia wewe chief...angalia unayoyazungumza kwako zito ni wa maana na wengine tunamuona wa kawaida sana na wala hafai.
  15. K

    Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

    ally kiba zaidi kwa watu wanaoelewa mziki.. na diamond anaongoza kwenye magazeti ya udaku kwa skendo
Back
Top Bottom