Ali kiba ana kipi cha kumfanya awe juu? Mi sioni sababu ya kumcompare Platnumz na mtu kama Ali kiba. Ali kiba ilikuwa enzi hizo napenda kula.., sijui kitu gani.. Lakini so sasa hivi hamna anachofanya kwenye game. Ukimzungumzia Diamond unamzungumzia best male intertainer in Tz miaka 800.
umenena...ifike hatua watu waache wivu na chuk hta kwa vitu vilivyo waz kama hv
hahaha,ongeen sana ila Unajua kwa nin ALLY K NI MKALI..
CHA KWA KU MAINTAIN KWENYE GAME TANGU 2005,kisha mpaka leo mnamshndansha na mtu wa 2009..
HAMNA ALBUM YA DIAMOND ILOUZA KAMA YA "ALLY KIBA-CINDERELA"..
MPAKA LEO ALLY KIBA NDO ANAONGOZA KWA KUPGA SHOW ULAYA,mwaka jana kapga show 11 nje,DIAMOND kapga 7..
KINACHOCHANGIA DIAMOND AONEKANE YUPO JUU NI SKENDO,ALLY K ANAJIHESHMU SANA,KATEMBEA NA LULU,WOLPER LAKN HAKUJTANGAZA OVYO..
POP IT IN,ALLY K 4 REAL,MCHIZ WA BONGO..JAMAA ANAJUA BWANA..AU MPAKA AANDKWE KWENYDD MAGAZET NDO MUMKUBAL.?
hahaha,ongeen sana ila Unajua kwa nin ALLY K NI MKALI..
CHA KWA KU MAINTAIN KWENYE GAME TANGU 2005,kisha mpaka leo mnamshndansha na mtu wa 2009..
HAMNA ALBUM YA DIAMOND ILOUZA KAMA YA "ALLY KIBA-CINDERELA"..
MPAKA LEO ALLY KIBA NDO ANAONGOZA KWA KUPGA SHOW ULAYA,mwaka jana kapga show 11 nje,DIAMOND kapga 7..
KINACHOCHANGIA DIAMOND AONEKANE YUPO JUU NI SKENDO,ALLY K ANAJIHESHMU SANA,KATEMBEA NA LULU,WOLPER LAKN HAKUJTANGAZA OVYO..
POP IT IN,ALLY K 4 REAL,MCHIZ WA BONGO..JAMAA ANAJUA BWANA..AU MPAKA AANDKWE KWENYDD MAGAZET NDO MUMKUBAL.?
ally kiba zaidi kwa watu wanaoelewa mziki..
na diamond anaongoza kwenye magazeti ya udaku kwa skendo
umesema???
ali k yuko kwenye gem toka 2005 na kapiga show 11 nje(ingawa hatujawai kuzskia)
then diamond ana miaka 3 tu kwa mwaka jna pekee show za nje 7..ha ha ha ushajipa jbu mwenyewe nan mkari
.
ALIKIBA hapa ana viewers zaid ya milioni moja you tube Ali Kiba - Usiniseme - YouTube
mwaka jana ally k kapga show 11 nje ya nch mpaka akashndwa kuwepo kwenye FIESTA,Sio lazma uckie kwa7b yeye co msanii wa magazet,kuna mfanyakaz m1 wa global publsheqz alkua anahojiwa kwenye mkas akaulzwa n msanii gan ambae wamepata tabu kufanya nae kaz dar live na hawajampata,akasema ally k coz kila mwez alikua anaenda nje..
au unataka nae aanzshe website ya kuweka pcha zake kila anapoenda kama diamond ndo ujue.?