Yes hata mi nilimuelewa hivyo,alikuwa akiuliza si kwa kumaanisha kuwa cha Ulaya ni bora,ila alikuwa anajaribu kuonesha ile kasumba jamii iliyo nayo kwamba sisi hatuwezi kutengeneza bidhaa bora na bidhaa bora lazima iwe
imetoka nje,hivyo alikuwa anataka tu wale aliokuwa akiwahoji wathibitishie...
Nadhani hii ni mfululizo wa threads za kumdhalilisha mwanamke kama kawaida ya hapa JF.
Yaani miaka mitatu/minne/mitano.Assigments,tests,mitihani ya term,finals,disertation vyote alale na malecturer ni Uongo...na masomo yenye malecturer wanawake ??
Nadhani wewe ndio Pimbi na Unafikiri kwa Makalio,kwa sababu hamna dawa na vifaa ndio umuache hata huyu ambaye ungeweza kuokoa maisha yake afe.. Ni Ujinga wa hali ya juu huu.Wanaokufa sio kina kikwete wala
mke wa Lusinde..,ni hawa watu wanao struggle kupata milo mitatu,ambao tayari ni wahanga wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.