Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Tumefika hapa kwasababu ya upuuzi wa CCM
Hoja hujibiwa kwa hoja
kama Chadema wapo kwa nini wasimjibu kwa hoja badala ya kumtolea matusi?[/QUOT
Wewe ni nani?mbona huana tofauti? mliandika hii thread mkiwa mmechuchumaa
Hoja hujibiwa kwa hoja
kama Chadema wapo kwa nini wasimjibu kwa hoja badala ya kumtolea matusi?
Kuna watu huwa wanatafutia wenzao ban, kama wewe mleta mada....
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!