Unaeza olewa na huyo mbinafsi anayejipenda yy hatimae mwisho wa siku ukaishia kuwa single mom na hujanufaika nae kwa lolote
Kwangu mm nngezaa na mmoja wapo kati ya hao waume,make ndo wanakuweka mjini na nikaendelea na maisha yangu
Mtu mbinafsi anaboa sana na hapo hajakuoa akikuoa je?
ungekuwa mwanaccm ungejua maana yake ila kwa kuwa chama chako sawa na picha uliyoiweka hapo kwenye utambulisho wako ndo maana hujui kwa nn wanafanya hvo
Ww sio mwanaccm kwanza,pili ungekuwa mwanaccm ucngeona kama ni hiyo ni shida make ni kanuni na taratibu za ccm kufanya hvo,siasa ni mchezo wa namba sasa usipojua una wanachama wangapi waliojiandikisha utajua unaenda kuwashinda vp wenzio?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.