Recent content by kazini

  1. K

    Sheikh Farid mbaroni, atakiwa kuthibitisha utekwaji wake

    mie wangenipa dakika 10 tu kuwa kuwa RAIS hawa uamusho wangeisoma plate no
  2. K

    What do you men want???

    haya mambo magumu sana wanaume wengi sasa hawaeleweki kabisa nini wanatka nini hawataki
  3. K

    Mabwepande: Mke wa kigogo wa BoT ateketezwa!

    jamani hii ilikuwa ndoano kama mkeo mumegombana kanywa sumu kakimbia kwann usiende kuripoti polisi na kumfatilia ndoa hizi basi tu:baby::baby:
  4. K

    JF Exclusive: OC CID Kawe... (inahusiana na Dr. Ulimboka)

    leo sijui hawajaiona lugalo mie nashangaa sana siwalikuwa wameweka ndo referal hospital
  5. K

    JF Exclusive: OC CID Kawe... (inahusiana na Dr. Ulimboka)

    hawajahusisha na kutekwa ila yeye analopoka mambo ambayo hajaulizwa ndo maana
  6. K

    Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

    jamani mie hata sielewi kumbe hata ukiwa na certificate unaruhusiwa kuchukuwa master mhh makubwa jamani chuo gani hicho maana mie na first degree naamini nitapewa PHD:israel::israel::israel::israel:
  7. K

    natamfuta mchumba(kike)

    kweli kabisa sio mrefu wala mfupi sijui ndo nn
  8. K

    Natafuta Mchumba wa Kike ili nioe

    kaka mbona vigezo vingi sana punguza basi 1.umri wangu ni 27 2.nipo tayari kuzaa hata mtoto 1 3.nimfanyakazi nimeajiriwa 4.mkatoriki sasa sijui nitafit kwenye hizoprofile yako
  9. K

    Kwa nini SIPATI WANGU WA MAISHA HAPA JF.

    mie naona na kigezo kimoja msukuma sijui nikupate vp
  10. K

    Serious natafuta mwanamke anayehitaji kuingia kwenye ndoa na kuanzisha familia

    mhh sasa itakuwaje sifa zingine zote ninazo isipokuwa umuri mie na 27
Back
Top Bottom