Sheikh Farid mbaroni, atakiwa kuthibitisha utekwaji wake

Sheikh Farid mbaroni, atakiwa kuthibitisha utekwaji wake

hivi hao usalama wa taifa hawakuweza kumchoma sindano ya sumu inayoua taratibu siku zote hizo walokaa nae? au hata ya virusi vya ukimwi high doze?
 
Mbona sijasikia Sheikh Farid Kangolewa meno na kucha, yeye karudi bila jeraha au huko Zanzibar hakuna Mabwepande nn?
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS.........
VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI.

Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote.
Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar.
Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe.
Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq.
Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao.
Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi.
Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii.
Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena.

Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi?
Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo.
Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine.
Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi.

.
Kama vyombo vya usalama visingewakamata kwa mahojiano zaidi wananchi wapenda amani tungevishangaa. Maelezo yaliyotolewa na huyu sheikh kwamba alitekwa hayajitoshelezi na yana kila viashiria kuwa ni ulaghai uliotungwa. Na ikithibitika kuwa zile zilikuwa ni njama na sii kweli kwamba alitekwa basi kifo cha polisi aliyeuawa kwa vurugu za kuaminiwa katekwa kinamhusu asilani.
.
 
Nyinyi ni wajinga tu hamuelewi nini kinaendelea hapa na munachangia kitu musichokijua.
 
Mbona sijasikia Sheikh Farid Kangolewa meno na kucha, yeye karudi bila jeraha au huko Zanzibar hakuna Mabwepande nn?

Jinsi Damu ya CHADEMA inavyowaathiri katika miili yenu na mulivyo na CHUKI dhidi ya UISLAMU naamini haya ndio mawazo ya wengi hapa JF, munachukulia
kutekwa ni kupigwa ama kuteswa kama
alivyofanywa Dk Ulimboka na
munajisahaulisha kama kuna aina njingi ya utekaji. Ingefurahisha zaidi kama mungekua wawazi na kukubali kwamba utekaji wa makachero wa usalama
wa taifa huwa ni wakutumia akili na maarifa mengi na wala hawakurupuki.
Dr Ulimboka alitekwa
kwa lengo la kumuua na Sheikh Farid katekwa kwa lengo la kuwachanganya wananchi na kuwagawa katika mitizamo yao.
Hapa ni lazima utekaji wao lazima uwe tofauti. Watanganyika banaaaa!
 
Nyinyi ni wajinga tu hamuelewi nini kinaendelea hapa na munachangia kitu musichokijua.

Kweli Binmussa. Mbona Fareed yuko kwake katulia. Nashangaa na hizo habari za kuzuiliwa na Polisi na kutaka kupelekwa mahakamani. Jambo usilolijua usiku wa kiza. Hapa JF kumezuka mtindo wa baadhi ya watu kuleta habari za uongo, na kupandikiza chuki.
 
Last edited by a moderator:
Ule mkutano uliopangwa kufanyika Mbuyuni leo saa 10 utakuwapo au umeahirishwa?
 
Kweli Binmussa. Mbona Fareed yuko kwake katulia. Nashangaa na hizo habari za kuzuiliwa na Polisi na kutaka kupelekwa mahakamani. Jambo usilolijua usiku wa kiza. Hapa JF kumezuka mtindo wa baadhi ya watu kuleta habari za uongo, na kupandikiza chuki.
Kama ni hivyo, basi facebook ya JAMIKI ndo waongo. Nimeona tangazo hilohilo huko. Na pia Mkutano wa Mbuyuni umeahirishwa.
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS.........
VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI.

Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote.
Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar.
Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe.
Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq.
Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao.
Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi.
Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii.
Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena.

Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi?
Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo.
Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine.
Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi.

Tuachiwe Tupumuwee......Hao ndiyo Uhamisho bana!!kila kitu wanaonewa wao!!this time naona tuwaonee jumla,

Naamini maisha yako ndio yale ya Mtanzania wa kawaida nakushauri kaa chini uangalie familia yako, hoyo Farid hakusaidii chochote, hujamchagua kwa kura huo uongozi kajipa mwenyewe na atafanya atakalo, kiongozi wako ni Dr Shein na Maalim Seif unapaswa uwatii hao na sio huyo bwana ndevu samahani kukuambia hili ni vile nina hasira kwani munaua raia mwenzenu kwa kujifanya munamtetea huyo Farid ambaye naamini fujo zikikolea leo Zanzaibar anapanda ndege na kwenda Oman, askari muliyemuua aliapa kwatetea wananchi kwa gharama yoyote, huyo Faridi una uhakika gani kwamba anawajali na hafanyi huo uchochezi kwa manufaa anayojua yeye..........tunza familia yako iwe na maisha bora sio unakuja kutuambia upumbavu humu.
 
Habari kutoka fb page yaoJumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar
BREAKING NEWS.........
VIONGOZI WAKUU WA UAMSHO WAZUIWA NA POLISI AKIWEMO AMIR FARID HADI.

Jeshi la Polisi limewazuwia viongozi wakuu watano wa Uamsho bila ya kosa lolote.
Viongozi hao ni Amir Farid Hadi Ahmed,Amir Msellem Ali Mselem,sh Azzan,sh Mussa Juma na sh Hassan Bakar.
Jeshi la Polisi lilimwita Amir Farid kumchukua maelezo lakini hukuweza kwenda peke yake aliyambatana na Viongozi wenziwe.
Lakushangaza Jeshi la Polisi linavunja sheria wenyewe kwani nikinyume cha sheria walimchukua maelezo Amir Farid bila yakutaka na kumruhusu wakili wake kuweko sh Salum Taufiq.
Baada ya kumaliza kumchukua maelezo wakaamua kuwazuwia viongozi wote walokwenda bila ya kutoa sababu maalum au kutoa kosa ambalo lilowafanya wawatie ndani viongozi hao.
Inavoonekanwa Jeshi la Polisi linataka kuanza kufanya njama za kutaka kuwabandikia kesi ambazo hazina kichwa wala miguu tayari kuna tetesi kuwa wanataka kuwapa kesi ya mauaji ya askari wao aliyepigwa mapanga juzi.
Tunawambia tena jeshi la Polisi kuwa wao ndio wa mwanzo wanaovunja sheria na kuanzisha fujo kesi yoyote watakayowapa viongozi wetu ambayo itawadhalilisha wajue wataharibu Amani ya nchi hii.
Kwani hata dhamana wamekataa kutoa wanataka kuwafikisha mahakamani viongozi hao siku ya Jumatatu na kutaka kuwabandikia kesi ya mauaji ili wakose dhamana na wawadhalilishe viongozi wasipate kutolewa tena.

Tunawatahadharisha Jeshi la Polisi Amani ya nchi hii wao ndio wanaichezea kumteka wamteke na kesi wa mpe siku zote walikuwa wanae wao huyo Askari wao alimuua sangapi?
Wao ndio wanaowabuudhi wananchi kuwapiga ovyo katika maeneo tofauti wakishirikiana na KMKM na KVZ halafu sasa wanataka kuwambia viongozi wetu ndio walioanzisha fujo.
Ila wananchi nyote munaombwa muwe watulivu na mutunze amani kwa sasa huku Mawakili wetu wakishulikia kesi hiyo pamoja na Viongozi wengine.
Ila tunaombwa pia tufike kwa wingi Mahakani siku ya Jumatatu watakapoasomewa mashataka yao,mpaka sasa hatujajua watapangiwa Mahakama ipi.

Tuachiwe Tupumuwee......Hao ndiyo Uhamisho bana!!kila kitu wanaonewa wao!!this time naona tuwaonee jumla,

Tatizo mmedekezwa sana na serikali ya ccm, mnaweza kutukana kutoaamri juu ya serikali halali, wawezaje kutoa shutma kuwa sha faridi alitekwa na polisi? kwa nini usisubiri ripoti ya sheh faridi huyu mwarabu wa oman? wazenj mnachekesha sijui kwa nini mlimfukuza mwalabu huku mkiwa bado mnapenda. ukitembelea makumbusho ya pale zenj utaona mapinduzi yale ilikuwa ni kumng'oa mwalabu lakini bado mnamtaka basi mpeni hata nchi tena, hawa ndio walio taka kuchukua nchi kwa kufanya mauaji. kuweni makini wazenj.
 
JK wa kwanza aliitengeneza TZ,
JK wa pili anaiharibu/kaiharibu TZ
 
JK wa kwanza aliitengeneza TZ,
JK wa pili anaiharibu/kaiharibu TZ

Kuvalisha wananchi viroba, kuwalisha sembe bovu, kutowapa watu uhuru mpana wa kuzungumza na kujadili mambo mbali mbali (hadi kufikia kutoa kashifa kwa viongozi kama wafanyavyo hapa ukumbini), kutawala kipindi kikubwa bila ya kuwapa nafasi wengine huku ni kutengeza?
 
mie wangenipa dakika 10 tu kuwa kuwa RAIS hawa uamusho wangeisoma plate no
 
Hawa wenzetu wanapenda KUJAMBA (kupumua) kweli, kitu kidogo utasikia tuacheni TUJAMBE(tupumue). sasa kama wakiruhusiwa wote wajambe hadharani na urojo wanaokula si watachafua hali ya hewa sana..............mi nafikiri mamlaka ya hali ya hewa imeliona hili ndomana ikaishauri serikali kutowaruhusu hawa watu WAPUMUE
 
Sheikh Farid ni shoga,alikuwa kwa bwana yake pale mkunazini kwa sheikh ukuni fakhi
 
Back
Top Bottom