Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Status
Not open for further replies.
kuna zinazoanza january na ni miezi tisa nadhani,ni possible kumaliza mwaka huo huo....

Asante kwa kunielewesha maana nilishajiuliza mna. But wanaomfahamu wanatoa maneno ya utata kuhusu masters hiyo!!! Alimaliza? Kama alimaliza basi ni kwa tabu!!!!!
 
la kwanza kaanza na miaka minne? Sept.,1978 ni round up sawa na 1979 then January,1983 ni sawa na miaka mitano na miezi michache!! Masters kwa UK unaweza kuisoma ukiwa na Diploma plus miaka ya kutosha (mfano 7) kazini ukifanya kazi ile ile ya Diploma na ile ile unayotaka kuisomea Masters otherwise hapo magmash
 
CV ya mtu sio issue. Ila anaweza ku-deliver? Kwani Thomas Edison aliyevumbua bulb baada ya kufanya experiment mara elfu kumi( 10,000 x) alikuwa na masters ya nini? Bill Gates ambaye ni owner wa Microsoft(unatumia Windows PC?) ana degree? Tatizo la watu walio wengi Tanzania wanaangalia CV za watu kana kwamba CV ndio zinazoleta maendeleo ya nchi yetu. CV zenye PhD,masters lukuki zimejaa maofisi ya serikali lakini zainabakia kucheza karata tu,ufanisi hamna.
Tukokane na huu upuuzi wa kufikiri kuwa CV za watu ndio kielelezo sahihi cha kumthamini mtu na thamani ya kile ambacho mtu anaweza kufanya. CV ina umuhimu wake lakini muhimu zaidi ni "deliverables"
JE unafahamu msemo " ukipandacho ndicho ukivunacho"? Nimeuliza hivyo kwasababu hoja yako inataka tuamini kwamba digrii,masters na PHD si kitu wakati hiyo si kweli. Naomba nikufahamishe tuzo za kielimu zinafaida iliyo kubwa kwa Mtu na jamii katika kukabiliana na mazingira. "The challenge is how academic qualification is converted into practical application at a particular time".It is more of challenge in our country because we are being led by failures of academic system who have con the society to belive that they have academic qualification. Kujenga nyumba ni jambo la msingi hata Kama utaamua kutoitumia. Tanzania hatujajipanga kufuatana na uwezo na tuzo za kielimu. Tufanye hivyo kwanza kwa kuwapa WATU wenye elimu za kweli nafasi za kuonyesha uwezo wao na kuwatupa wote wenye tuzo za kimagumashi tuone. NAAMINI KWAMBA ELIMU NDIO MSINGI WA KUWEZA KUYAKABILI MAZINGIRA YA DUNIA TUNAYOISHI NA HAKUNA MBADALA. Home work yako ni Bill Gates na wengine walipata elimu gani bila kupata tuzo Kama degree,masters n.k?
 
Ni kweli Masters UK nyingi ni 1 year- lakini unatakiwa uwe na first degree na credits zinazohitajika. However, sijawahi kusikia mtu mwenye certificate anakubaliwa kuchukua Masters bila first degree in accredited institutions UK or US. Tena certificate ya customer care kwenda kwenye Masters of Science? Angalau basi angekuwa na back ground ya Science kidogo. Inawezekana aliyeandika hiyo CV amekosea kitu, au hicho chuo sio accredited; or else kuna ulakini kwenye hii CV.

jaman hizi cv zinakosewa kila siku???mnamkumbuka yule wa songea galz????
 
jamani mie hata sielewi kumbe hata ukiwa na certificate unaruhusiwa kuchukuwa master mhh makubwa jamani chuo gani hicho maana mie na first degree naamini nitapewa PHD:israel::israel::israel::israel:
 
from certificate to masters........!!!!


member of parliament cv from certificate to masters

general
salutation
honourable
member picture
1591.jpg

first name:
vick
middle name:
paschal
last name:
kamata
member type:
special seat
constituent:
no constituency
political party:
ccm
office location:
box 2939, dar es salaam/ box 30, geita
office phone:
+255 783 277733
ext.:
office fax:
office e-mail:
vkamata@parliament.go.tz
member status:
current member
date of birth
18 september 1978
education
school name/location
course/degree/award
start date
end date
level
kichangani primary school, morogoro
primary education
1983
1989
primary
morogoro secondary school, morogoro
o-level education
1990
1993
secondary
mandaka teachers' training college
teaching course
1994
1996
certificate
nyakohoja computer centre, mwanza
diploma
1997
1999
diploma
st. Augustine university
certificate in journalism
2001
2002
certificate
eastern & southern african management institute (esami)
public relation& customer care course
2007
2007
certificate
southampton solent university, uk
msc.
2008
2008
masters degree
employment history
company name
position
from date
to date
the parliament of tanzania
member - special seat
2010
2015
bank of tanzania (bot)
public relation officer i
2009
2010
bank of tanzania (bot)
public relation officer iii
2006
2009
political experience
ministry/political party/location
position
from
to
chama cha mapinduzi, ccm
member - southampton usolet university (uk) branch
2008
2009
chama cha mapinduzi, ccm
secretary - saut branch
2002
chama cha mapinduzi, ccm
member - mandaka branch
1996
chama cha mapinduzi, ccm
member
1995
todate
publications
description
date
v. Kamata: Investigation of differentiation in university's mba programme - a case study of southampton solet university, uk.
2009
v. Kamata: The impact of microfinance scheme in boasting women income - a case study of pride tanzania, saut, mwanza
2005
v. Kamata: Investigation of differentiation in university's mba programme - a case study of southampton solet university, uk.
2009
v. Kamata: The impact of microfinance scheme in boasting women income - a case study of pride tanzania, saut, mwanza
2005
v. Kamata: Investigation of differentiation in university's mba programme - a case study of southampton solet university, uk.
2009
v. Kamata: The impact of microfinance scheme in boasting women income - a case study of pride tanzania, saut, mwanza
2005
v. Kamata: Investigation of differentiation in university's mba programme - a case study of southampton solet university, uk.
2009
v. Kamata: The impact of microfinance scheme in boasting women income - a case study of pride tanzania, saut, mwanza
2005






victoria paschal kamata, mtoto wa mama deo. Alizaliwa mwaka 1974 na 1978, miaka ya 1990-1995 mama deo (mama mzazi wa victoria kamata) alikuwa amepanga kwenye nyumba ya mzee bosco maeneo ya kreluu mabatini mwanza. Wakati huo victoria alikuwa msichana mkubwa (nilikutana nae mwaka 1993) kunizidi mie ambae nimezaliwa 1975. Baadae mama deo ambaye alikuwa mfanyakazi wa benki kuu mwanza akahamia nyakato mecco ambako alijenga nyumba, na tulikuwa tunakutana na victoria mara kwa mara. Kuna kipindi alisomea chuo cha uhasibu mbeya akashindwa, na ana mtoto wa kiume ambae alimzaa kati ya mwaka1995 au 1997 na tapeli mmoja wa musoma. Wadau hayo ni kwa kifupi tu, mkitaka zaidi naweza kuwaletea humu kuhusu huyu dada yangu. Sijapenda uongo wake.
 
kazaliwa september 1978 akaanza primary mwaka 1983. Mnaojua mahesabu atakuwa kaanza la kwanza na miaka mingapi? Tena enzi za mwalimu za kushika sikio la kushoto kwa mkono wa kulia kupitia juu ya kichwa?



mkuu ni kuwa alizaliwa mwaka 1974 na sio 1978 na kaka yake deo alizaliwa 1972.
 
ni ngono tu! Mwanzoni mwa elfu 2 tulikuwa naye mitaa ya Mwanza. Ni mjinga mkubwa na poyoyo. Ngono tu



mkuu umesema kweli kabisa, si alikuwa anakaa mitaa ya nyakato miaka hiyo. Tena mama yake alikuwa mpishi pale bank kuu Mza, ana kichwa kigumu kinoma.
 
tuache umbea, uzandiki, halafu vyeti na c.v. vimedhihirisha katika nchi yetu kuwa havijasaidia chochote. kama mtu kutoka chuoni anatumia muda na akili yake ya kununua kutafuta kuajiriwa, wengi ndio mpo humu. wakati mtoto wa kitaa alieshindwa kusoma akapigika kuuza mitumba kwa kutembeza , akameki leo ana duka anakwenda china na wasio na elimu ndo wanaongoza kuchukua mikopo katika taasisi na wanatoka nyie wa akili za mzungu kaeni mkisubiri c.v. na kuilaumu serikali muone kama maisha yanangoja C.C.M itoke, ili mufaidike na siasa, watu waliishi kibishi bila C.V wala vyeti enzi za nyerere.
 
victoria paschal kamata, mtoto wa mama deo. Alizaliwa mwaka 1974 na 1978, miaka ya 1990-1995 mama deo (mama mzazi wa victoria kamata) alikuwa amepanga kwenye nyumba ya mzee bosco maeneo ya kreluu mabatini mwanza. Wakati huo victoria alikuwa msichana mkubwa (nilikutana nae mwaka 1993) kunizidi mie ambae nimezaliwa 1975. Baadae mama deo ambaye alikuwa mfanyakazi wa benki kuu mwanza akahamia nyakato mecco ambako alijenga nyumba, na tulikuwa tunakutana na victoria mara kwa mara. Kuna kipindi alisomea chuo cha uhasibu mbeya akashindwa, na ana mtoto wa kiume ambae alimzaa kati ya mwaka1995 au 1997 na tapeli mmoja wa musoma. Wadau hayo ni kwa kifupi tu, mkitaka zaidi naweza kuwaletea humu kuhusu huyu dada
yangu. Sijapenda uongo wake.
This is what we call "giving out the true picture". This one is "plasma clear"
 
Nadhani kuna vitu tunatakiwa kuwa wadadisi kidogo
kuna hisia zimetumika zaidi katika kujadili hiyo CV .
Ni vyema kila mtu akaukumiwa kwa HAKI hata kama ana makosa mengine.

Ukweli ni huu
kwa mtu mwenye work experience miaka 5 (managerial ) na diploma (sometime bila Diploma ) kama una uzoefu wa kiuongozi vyuo vingi UK zinaweza kukubali kusoma Masters kwa mwaka mmoja.
Kwa maana hiyo sio kweli kwamba kusoma MASTERS lazima uwe na SHAHADA ya kwanza
 
ANGALIZO : SOUTHAMPTON UNIVERSITY sio SOUTHAMPTON SOLENT ..... kuweni makini mnapofanya mjadala
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom