kwa ninavyoelewa mimi,bunge la 10 ni kipindi anachozindua Rais bunge hadi anapolivunja kwa ajili ya uchaguzi mkuu ndio maana Sita aliongoza bunge la 9,hili likivunjwa baada ya uchaguzi likizinduliwa tena linakuwa la 11,mkutano wa 18 ni kwamba toka kuzinduliwa bunge la 10 hii ni mara ya 18...
Katika hili hata katiba ilitolewa na tume iliyoongozwa na warioba isingeondoa tatizo hili,kwani ikija tanganyika siku ya trh 09 Dec ingekuwa ni sherehe ya Tanganyika hivyo rais wa JMT angekuwa anaingia uwanjani,baadae anakuja Rais wa Tanganyika.
nilikuwa sielewi,hakuna habari za serikali za mitaa....naona mambo ya miaka 53 ya uhuru nikawa bado gizani kufika za michezo naona mambo ya big brother sijakaa sawa khaa mechi ya mtani jembe haijachezwa nikadhani nipo usingizini nikapata furaha maana timu yangu ilifungwa......
sipo akilini mwake,ila nadhani hata kujadiliwa huku kwake anaona amefanikiwa,kuna wakati hawa tunaowaita mastaa huwa wanafanya kitu ili watengeneze stori
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.