Recent content by Kayoka

  1. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kuimarishwa maradufu siku ya hukumu ya kesi ya uhaini.

    Kwa hiyo uko zako unafurahia mwenyewe....
  2. Kayoka

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Sawa, ngoja tuone jinsi itakavyokuwa wakati hizo simu zikishindania soko la teknolojia ya mawasiliano.
  3. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Kama hujajipanga vizuri waombe wazazi wake uhamie hapo kwao ili muishi na kumtunza bint yao...
  4. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Hii kampuni ya bety ya sportbet imenidhulumu aisee.

    Screenshot betslip yako tuweze kupata pa kuanzia kukushauri.
  5. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    Mkewe yupi tena ? Yule Faiza ama huyu Happy ?
  6. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Ya Rigathi Gachagua kumkuta mtu fulani Tanzania

    Nadhani kuna tofauti kubwa sana kati ya yale yaliyopo kwenye Katiba ya Kenya vs ya haya yaliyopo kwenye Tanganyika.
  7. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mama nani ? Hebu kuwa na adabu kidogo kwa Head of State 🫩
  8. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Kama hawa wote wanaomtuhumu Heche wamenunuliwa, CHADEMA hamna makada!

    I second you 👍👌✌️
  9. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Vamos Argentina ✌️
  10. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sijutii usingizi wangu wa leo, CV wamenipa burudani nzuri sana.
  11. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Duuh, haya ni maajabu sana Cape Verde wanayaonesha.
  12. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    The Sudanese Ronaldo, ni kijana wa UNHCR tangu akiwa pale Kakuma Refugees Settlement - Kenya.
  13. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Tupia picha ya gari yako ya kwanza kununua na utuambie ulinunua ukiwa na umri gani

    Acha kuwaza mambo ya kijinga kwani umesahau kuwa tarehe 06.07.2026 mnafungua shule ?
  14. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Usiku huu wa manane ?
  15. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Je, ni Kweli Tayari Imeshapangwa Portugal achukue World Cup 2026?

    Mbona ilishatabiliwa tangua mwanzoni mwaka ya kuwa, mshindi wa FIFA WORLD CUP 2026 ni NETHERLANDS 🇳🇱
Back
Top Bottom