Recent content by Kayoka

  1. Kayoka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tumejaribu mara kadhaa kubadilisha lakini mfumo unakataa. See the attachment 👇
  2. Kayoka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari Wakuu? Msaada tutani, Ikiwa kama mtu aliweka anuani ya Mtwara wakati wa kutuma maombi lakini wito wa usaili amepokea akiwa Bukoba na uwezekano wa kurudi Mtwara kwa haraka haupo. Akijaribu kubadili anuani ya zamni na kuweka ya sasa mfumo unakataa, je ni hatua zipi za zaida hufanyika ili...
  3. Kayoka

    Ni lini utumishi wataita watu waliofanya oral za MDAs & LGAs

    Wakuu ni salama, Msaada tutani, Ikiwa kama uliweka anuani ya Mtwara wakati wa kutuma maombi lakini wito wa usaili unapokea ukiwa Bukoba na uwezekano wa kurudi Mtwara kwa haraka haupo. Ukijaribu kubadili anuani kwa sasa inakataa, je hatua zipi za zaida hufanyika ili kuweza kupata nafasi ya...
  4. Kayoka

    FT: Senegal 1-0 Morocco | AFCON 2025 | Fainali | Stade Prince Moulay Abdallah | Jan 18, 10:00 PM | Senegal yatwaa Ubingwa

    Baada ya kubeba ubingwa nini kitafuata kwa timu ya taifa ya Senegal ? Kuna timu, wachezaji, kocha na referee watakutana na adhabu kubwa sana au hata kufungiwa maisha kujiacha kujihusisha na soka la Africa.
  5. Kayoka

    Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    When it comes to penalt kicks: Nigeria 3:2 Morocco
  6. Kayoka

    Ipi sababu ilikufanya ukachagua username unayoitumia sasa?

    Nyoka Mdogo ila mwenye sumu kali.
  7. Kayoka

    Sidhani afande Tesha yuko nchini

    Sio kwa nchi hii, Unaweza kuanzisha hizo harakati lakini mwisho wa siku unajikuta uko peke yako. Some soldiers are coward.
  8. Kayoka

    Kozi ya uaskari ni muda gani wakuu isije ikawa napangwa

    Mtawezana kweli, wewe Raia yeye Askari ?
  9. Kayoka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naunga hoja mkono huu 😜
  10. Kayoka

    Nimesikitishwa na speech ya Dr Mpango pale UN. Hivi umeme, maji na huduma za afya ni kitu cha kujisifia mbele ya wazungu?

    + ile homa ya kikohozi na mafua makali iliyomfanya aje mbele za umma akiwa na canula mkononi.
  11. Kayoka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwani kwenye tangazo lao JD inasemaje ?
  12. Kayoka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu, ungejituliza kwanza pengine wangekuzingatia. Mimi ilishawahi kunitokea kisa tofauti kidogo, walitangaza nafasi ya Afisa Biashara II kwa ajili ya MDA & LGA, wakati wa kuandika barua yangu nikaandika heading ya "Maombi ya Nafasi ya Afisa Habari II" ila main body nimeeleza mambo ya Afisa...
  13. Kayoka

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Point tatu si haba, ila tujiandae kwa mambo kama haya kwa sababu misimu huu timu nyingi zinatukamia sana. Bila shaka kwa game zijazo kocha ataongeza nguvu kidogo kwenye attacking threat (Isak). Next stop, Wednesday Sept 17: Anfield. Liverpool vs Atletico Madrid (UCL) You Will Never Walk...
  14. Kayoka

    Kuhusu kifo cha ghafla cha Bernard Membe, maelezo ya Humphrey Polepole yameacha maswali

    Once you're Kipepeo mweusi, unaheshimu na kutumikia kiapo chako mpaka mwisho wa dahari.
  15. Kayoka

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Yangu niliagiza kutoka Kariakoo pale kwa NjiwaFlow, bei ni 1.1M tu.
Back
Top Bottom