Recent content by Kayoka

  1. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    Mkewe yupi tena ? Yule Faiza ama huyu Happy ?
  2. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Ya Rigathi Gachagua kumkuta mtu fulani Tanzania

    Nadhani kuna tofauti kubwa sana kati ya yale yaliyopo kwenye Katiba ya Kenya vs ya haya yaliyopo kwenye Tanganyika.
  3. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mama nani ? Hebu kuwa na adabu kidogo kwa Head of State 🫩
  4. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Kama hawa wote wanaomtuhumu Heche wamenunuliwa, CHADEMA hamna makada!

    I second you 👍👌✌️
  5. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Vamos Argentina ✌️
  6. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sijutii usingizi wangu wa leo, CV wamenipa burudani nzuri sana.
  7. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Duuh, haya ni maajabu sana Cape Verde wanayaonesha.
  8. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    The Sudanese Ronaldo, ni kijana wa UNHCR tangu akiwa pale Kakuma Refugees Settlement - Kenya.
  9. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Tupia picha ya gari yako ya kwanza kununua na utuambie ulinunua ukiwa na umri gani

    Acha kuwaza mambo ya kijinga kwani umesahau kuwa tarehe 06.07.2026 mnafungua shule ?
  10. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Usiku huu wa manane ?
  11. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Je, ni Kweli Tayari Imeshapangwa Portugal achukue World Cup 2026?

    Mbona ilishatabiliwa tangua mwanzoni mwaka ya kuwa, mshindi wa FIFA WORLD CUP 2026 ni NETHERLANDS 🇳🇱
  12. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

  13. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Hongera sana kamanda
  14. Kayoka

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Iran 🇮🇷 wamecheza vizuri sana first half japo kuna makosa madogo madogo sana yanaweza kuwagharimu hapo baadae hasa kwenye indivifual marking na penetration passes zinazofanywa na Belgium 🇧🇪
  15. Kayoka

    JamiiForums Tanzania Kati ya Senior Member, JF-Expert Member na Platinum Member, nani ana cheo kikubwa zaidi?

    Daah, nilikuwa sijajijua tu kumbe hapa jukwaani ni 🌟 🌟 🌟 field marshal.
Back
Top Bottom