Habari Wakuu?
Msaada tutani,
Ikiwa kama mtu aliweka anuani ya Mtwara wakati wa kutuma maombi lakini wito wa usaili amepokea akiwa Bukoba na uwezekano wa kurudi Mtwara kwa haraka haupo.
Akijaribu kubadili anuani ya zamni na kuweka ya sasa mfumo unakataa, je ni hatua zipi za zaida hufanyika ili...
Wakuu ni salama,
Msaada tutani,
Ikiwa kama uliweka anuani ya Mtwara wakati wa kutuma maombi lakini wito wa usaili unapokea ukiwa Bukoba na uwezekano wa kurudi Mtwara kwa haraka haupo.
Ukijaribu kubadili anuani kwa sasa inakataa, je hatua zipi za zaida hufanyika ili kuweza kupata nafasi ya...
Baada ya kubeba ubingwa nini kitafuata kwa timu ya taifa ya Senegal ?
Kuna timu, wachezaji, kocha na referee watakutana na adhabu kubwa sana au hata kufungiwa maisha kujiacha kujihusisha na soka la Africa.
Mkuu, ungejituliza kwanza pengine wangekuzingatia.
Mimi ilishawahi kunitokea kisa tofauti kidogo, walitangaza nafasi ya Afisa Biashara II kwa ajili ya MDA & LGA, wakati wa kuandika barua yangu nikaandika heading ya "Maombi ya Nafasi ya Afisa Habari II" ila main body nimeeleza mambo ya Afisa...
Point tatu si haba, ila tujiandae kwa mambo kama haya kwa sababu misimu huu timu nyingi zinatukamia sana.
Bila shaka kwa game zijazo kocha ataongeza nguvu kidogo kwenye attacking threat (Isak).
Next stop, Wednesday Sept 17: Anfield.
Liverpool vs Atletico Madrid (UCL)
You Will Never Walk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.