Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,259
- 35,534
Wanangu diaphragm zitapasuka leo
Beki dk 90 hajapiga hata krosi mojaScaloni haoni huyu molina ni wa kwenda benchi?
#Hallelujah!!!
Cape Verde hawana huo ubavu washatepeta sikilizia chuma cha 3 tu hapo Messi anawarudisha katiArgentina watafute la tatu la sivyo story zitakuwa nyingine,madogo wanaweza wakapata zali.
Nazani umeona kaka wamechomoa.Cape Verde hawana huo ubavu washatepeta sikilizia chuma cha 3 tu hapo Messi anawarudisha kati