Wadau naomba kujuzwa namna ya kutumia hivi vidonge kwa mwanamke mwenye kusaka mtoto vinatumiwa wakati gani? Kwa maana ya wakati wa period ,baada ya period tu, au akiwa akiwa kwenye siku za hatari ya kupata mimba?
Msaada laptop yangu sina ya dell inazingua kidogo kwenye net ipo slow na music ina play tatizo lipo kwenye video iwe video ya YouTube au ambayo saved kwenye computer ikiplay baada ya dakika 3 tu inaanza Ku-scratch balaa tatizo litakuwa wapi maana nimeishaifuta nimebadilisha windows lakini wapi...
Dah Mkuu umeongea point kubwa sana mambo mengi tu sayansi bado haiwezi kujibu na Mara nyingi hata ikijibu inakuta ni issue ambayo imeshafanyika au IPO kwenye process ya kufanyika bila kuja Nani anefanya ifanyike ndio maana mie huwa naamini tu katika Mungu ili niwe safe side hata nikifa nikikuta...
Ni ukweli kimafanikio ya kimpira Ronaldo ana cha kujivunia tofauti na mess na nadhani anguko la mess kwenye team ya taifa linazungumziwa zaidi sababu ameshindwa kuisaidia team yake ya taifa japo amezungukwa na masuper star tofauti na tonaldo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.