Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
jamaa hapo anatamani akimbie anashindwa kukimbia wala kutokimbia.
View attachment 370974
jamaa hapo anatamani akimbie anashindwa kukimbia wala kutokimbia.
Labda huyo aliyekaa hapo ndio derevaHalafu huyo dereva anashindwaje kutia gear na kuondoka kwa escaping velocity!!!!???
Option ya "yoko gel kik" inakuwa muafaka.Labda huyo aliyekaa hapo ndio dereva
Angalia vizuri. We unafikiri kumkazia macho simba ni rahisi eeeh. Keshajinyia huyo muda mreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeffu kabisaNah hawez kimbia hao Mungu aliwaumba kiajabu uwa wanaona aibu sana wanapokutana na eyes contact ya binadamu ukimtizama jamaa Utagundua kakaza macho sana
teh teh teh teh tehHapo naendelea kukauka hivyo hivyo... akistua tu nalala mbele...