Gari kama mpya itasumbua nini sasa ? Na kwa wajanja ukinunua gari mpya usikae nayo zaidi ya miaka 3 uza unanunua new model maisha yanaenda hayo mambo ya mafuta na service kama umeweza kununua gari sidhani hivyo vitu vinaweza kukushinda labda uwe mbululazzzzz
Huku kutafuta maisha kwa kubahatisha kama hivi ndio maana vijana wengi wanazeekea kwenye nyumba za wazazi wao kwanini usifanye kazi tu ukajipatia maisha yako mazuri kuliko kufanya hii kitu ya kubahatisha matokeo yake wazazi wakiondoka mnabakia kugombea urithi unadhani mzazi wako angekuwa na yeye...
Huyu Dada ni mswahili sana na bahati mbaya huwa kuna wambea wenzake ambao huwa wanampa umbea kila anachokiandika huwa kina ukweli flan tatizo lake ni kigeugeu
Ki ukweli mie kuangalia hiyo kitu inayotwa bongo movie labda siku huyo tu itokee nimeamua kupumzika na familia ndio waweke hata hivyo huwa sio interested maana nikangalia dakika 5 nakuwa nimeshajua itakwelisha hata kama ndio imeanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.