Karatu ninayoijua mimi hakuna wasichana wanaweza kufanya kazi za ndani, hapo kuna wauza bar + nanihii na wapiga ndole,
Au labda we unataka kuanzisha mtandao wako wa blacksport
Inaonyesha ni jinsi gani hawa askari wetu wasivyo na weledi wa kuzuia ujangili bali wako ki deal zaidi,
So wameacha mzigo uondoke kwanza ili wao wachukue ela, sasa kwa style hii czani kama ujangili utaisha tz.
Magu- mbona bado una kaz ya ku tu mbu a na chunusi
Kwa vyovyote vile mchokozi ni huyo askari aliyekuwa kiraia, kamfuata mwenzake kwenye lindo ili kumlingishia kuwa anataka kutoa ela ili akaitumie kumgegedea demu wake
lkn jamaa (muuaji) alikuwa ameshapata infor
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.