Recent content by kawaida2

  1. K

    Ada elimu msingi: Hatua moja mbele itakayoturudisha hatua mbili nyuma

    Acha urongoz, makontena yatasomesha watoto wote tz
  2. K

    Serikali mmekurupuka uamuzi wa level seat mnagombanisha abiria na trafiki

    Mi nashauri kwnza wangefanya utafiti ni kwanini abiria wanasimama, then majibu yake yangewapa muongozo nini cha kufanya badala ya kukurupuuka tu
  3. K

    Binti wa kazi wanne wapo Karatu

    Karatu ninayoijua mimi hakuna wasichana wanaweza kufanya kazi za ndani, hapo kuna wauza bar + nanihii na wapiga ndole, Au labda we unataka kuanzisha mtandao wako wa blacksport
  4. K

    Mapya yameibuka kuhusiana na tukio la kuuawa majangili Dar es salaam

    Inaonyesha ni jinsi gani hawa askari wetu wasivyo na weledi wa kuzuia ujangili bali wako ki deal zaidi, So wameacha mzigo uondoke kwanza ili wao wachukue ela, sasa kwa style hii czani kama ujangili utaisha tz. Magu- mbona bado una kaz ya ku tu mbu a na chunusi
  5. K

    Yuko wapi mbunge wangu Shibuda?

    Nami naomba kuuliza, ivi yule mbunge aliwahi kutamka bungeni kwa kuwaambia wabunge wa upinzani wana ( ASHKI ) bado ni mbunge?
  6. K

    Cheo cha First lady kimefutwa?

    lass mir alein bitte
  7. K

    Cheo cha First lady kimefutwa?

    Uc nichanganye akili wewe ata kama nimekunywa safari ndogo 2 lkn najua nilichoki post, please don't make my knight tafu
  8. K

    Kwa kuwa ni Makonda lakini angekua ni Mnyika hapo sawa!

    Uwez kumlingalinisha mtu ambae amechagiliwa na wanainchi na yule ambae amechaguliwa na mtu mmoja kwa fadhila ya kumuudumia mtoto wako vizuri
  9. K

    Kabla ya Dunia kutengenezwa kulikuwepo na nini??

    Mi ngoja nitege sikio Karibuni wapevu wa mambo
  10. K

    Cheo cha First lady kimefutwa?

    Cna uakika na kabila la huyu mama, kwa hiyo unataka kuniambia magu-- ni shemeji wa wachaga?
  11. K

    Cheo cha First lady kimefutwa?

    Nafikiri Janet hapendi makuu, kama wale waliopita, alilelewa kiafrica
  12. K

    Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

    Mbona wenye ghamboshi yao wanapinga kuwa ghamboshi c chimbuko la uchawi,
  13. K

    Polisi Wauana Kwa Risasi Jijini Mwanza Wakiwa Lindoni

    Kwa vyovyote vile mchokozi ni huyo askari aliyekuwa kiraia, kamfuata mwenzake kwenye lindo ili kumlingishia kuwa anataka kutoa ela ili akaitumie kumgegedea demu wake lkn jamaa (muuaji) alikuwa ameshapata infor
Back
Top Bottom