ooohhh that's the reason why
lass mir alein bitte
ooohhh that's the reason why
Hata mi nakumbuka heheheheAlishaongea ktk moja ya kampeni zake sikumbuki ni wapi akisema wao kwao mwanamke si wa kumuweka mbele mbele wao kikubwa ni Kazi tu!
Rais Magufuli kaudhihirishia umma wa Watanzania kwamba mke wa Rais SIO 'Naibu Rais.'Na wala si sehemu ya taasisi ya Urais.Na pia kuwa mke wa Rais si fursa ya kujitengenezea taasisi uchwara za ulaji.
Hicho nacho ni cheo?
Kaazi kweli kweli!