Kiongozi mkubwa anakuja na kauli za kuiogopa mitandao ya kijamii, ukimsikiza vizuri ni kama analaani kuwepo, hataki kukosolewa, anataka afanye atakavyo kwa wakati atakao bila swali.
Serikali yake imetoka Mbinguni haipaswi kuhojiwa Wala kukosolewa maana inajua kila kitu.
Unamuelewaje mtu huyu...
Mimi nadhani, sijaona alipokosea Diamond.
Na hapa ndipo nasi tunadhani kwa kunyamaza tu, yatosha kuitwa Busara.
I beg to differ.
Natambua kuwa ukimya ni mzuri, hata hivyo hauwezi kuwa mzuri wakati wote, hata hivyo nmekiona alichokiandika Diamond, amejenga hoja nzuri sana, na inayoeleweka...
Nliuliza kwa nini mmemzomea Diamond wakati wa Fiesta. Majibu yalikuwa mengi, na ni bahati mbaya yote yalikuwa ni ya kijinga.
Vyovyote itakavyokuwa, siyaangalii mafanikio ya Diamond kama yake bonafsi, ila ya watanzania wote na kwa kweli kwenye tasnia yote ya muziki wetu hapa Tanzania.
Kutokana na nilivyomuelewa Jaji Warioba.
Lengo la Mwl. Nyerere ni kuitoa nchi katika nchi moja yenye serikali mbili kwny Tanzania moja yenye serikali moja.
Na alifanya hvy kwa vitendo kwa mazungumzo, tena kwa kufuata katiba. Ndiyo maana Jaji anaaema akiwa anatoka madarakani aliacha mmb ya...
Niliwahi sema kwa kuuliza swali; kwamba tutegemee Bunge gani kama 90% ya wabunge wa CCM walipatikani kwa mizengwe na Rushwa?
Kwamba wataenda kumlipia nani fadhila za kuwa mbunge, mwananchi ambaye hata hivyo hakumchagua kwa kura za kutosha ama aliyemfadhili kuupata ubunge huo?
Angalia...
Nimesoma kisa chako.
Maamini mm si mtu sahihi kukuhukumu.
Hata hvy. Ni lazima ukubali umekosea kwa ulichofanya. Kwsbb ulikuwa ktk wkt mzr wa kumwambia Anita aendelee na maisha yake, au ungeacha alipogundua mara ya kwnz na yule wa Saloon.
Lkn kikubwa anza upya.
Kama umeshindwa kumrudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.