Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

hayo ni maoni yangu baada ya kutumia zote hizo mpaka nikaichagua techno

kwanza interms of charge hakuna simu inayomgusa techno ndio maana techno huna haja kutembea na power bank
na hicho ndicho kitu cha msingi katika simu
camera wapo vizuri
storage the same
speed wapo vizuri
kipi cha zaidi

labda cha kuniudhi katika mfumo wao tu android maana after a while kuzingua kwingi tofauti na window phone au ios
Naomba utoe evidence ya issue ya charge hususani screen on time ukiwa unatumia Internet sio unaongea tu bila proof mfano mimi hii ni screen on time yangu ya Galaxy s6 nikiwa natumia apps tofauti na 4g saa zote. Naomba unipostia yako
1475062113211.png
1475062117392.png
 
Naomba utoe evidence ya issue ya charge hususani screen on time ukiwa unatumia Internet sio unaongea tu bila proof mfano mimi hii ni screen on time yangu ya Galaxy s6 nikiwa natumia apps tofauti na 4g saa zote. Naomba unipostia yako View attachment 408362View attachment 408363

hujaconnect kwenye powe bank maana nyinyi bila hiyo ngumu hata kusafiri

sumsung kuanzia s4 kidogo kwenye chaji kajitahidi ngoja nikuletee standby time ya techno leo hii unaingia huku mkuu
 
Tatizo mnaleta dharau kwa kufananisha na simu ambazo sio kiwango cha tecno, unawezaje kuifananisha tecno na iPhone au Samsung!? Tecno ana watu wake wa kufananishwa, kumbuka ukianza dharau lazima na wewe udharauliwe
Aise kabla ya tecno nilikuwa na Sony z2, nikahamia Samsung Galaxy S 5, sasa niko na tecno mbona sioni tofauti, na hii battery ni nzuri sana, we umewahi tumia tecno?
 
Simu ya Tochiiiiiiiiiiii imetulia bora mesage na game la nyoka unakolezea day
 
hujaconnect kwenye powe bank maana nyinyi bila hiyo ngumu hata kusafiri

sumsung kuanzia s4 kidogo kwenye chaji kajitahidi ngoja nikuletee standby time ya techno leo hii unaingia huku mkuu
Leta sasa tuone maana kila siku wana Tecno humu ndani ni kusifia battery life bila kuleta figures zozote. Screen on time na apps zinazotumia charge utakuta mnapata screen on time ya 3hrs na mnatumia Edge na kusurf Opera mini pamoja na Jami forum nakujiona simu zenu azili chaji.

Alafu powerbank za nini wakati simu ina fast charge 30mins inajaa 50% lisaa 1 simu battery inasoma 100%.
 
Aise kabla ya tecno nilikuwa na Sony z2, nikahamia Samsung Galaxy S 5, sasa niko na tecno mbona sioni tofauti, na hii battery ni nzuri sana, we umewahi tumia tecno?
Kutumia nimetumia lakini sio kama simu ya kwangu, huwezi kuona utofauti kama matumizi yako ya simu ni whatsapp, Facebook, instagram and the co, na kama ndo matumizi yako ni hayo basi upo sahihi kabisa na huna haja ya kuwa na simu ulizozifananisha ila kama unamatumizi beyond ya hayo unaweza ukaona utofauti
 
Nilianza na
Nokia
Blackbery
Sumsang
Tecno

Ila nimeirudia sumsang
Yangu iphone hadi wafike s 10! Wakifika hapo na mim nanunua iphone s5
nokia-featre.jpg
 
Kutumia nimetumia lakini sio kama simu ya kwangu, huwezi kuona utofauti kama matumizi yako ya simu ni whatsapp, Facebook, instagram and the co, na kama ndo matumizi yako ni hayo basi upo sahihi kabisa na huna haja ya kuwa na simu ulizozifananisha ila kama unamatumizi beyond ya hayo unaweza ukaona utofauti
Tofauti na matumizi hayo mkuu matumizi gani mengine unatumia? au ku download movie
 
Leta sasa tuone maana kila siku wana Tecno humu ndani ni kusifia battery life bila kuleta figures zozote. Screen on time na apps zinazotumia charge utakuta mnapata screen on time ya 3hrs na mnatumia Edge na kusurf Opera mini pamoja na Jami forum nakujiona simu zenu azili chaji.

Alafu powerbank za nini wakati simu ina fast charge 30mins inajaa 50% lisaa 1 simu battery inasoma 100%.
hahaha eti fast charge 30min 50% s6 hiyo duuuuh acha kupotosha watu ko hapo 11% fasta dakika 20 ushajaza
 
Ubaya yaani simu hazipishani daaa mwakajana tuu j8 Mara ç9 Haya now hio
 
Kutumia nimetumia lakini sio kama simu ya kwangu, huwezi kuona utofauti kama matumizi yako ya simu ni whatsapp, Facebook, instagram and the co, na kama ndo matumizi yako ni hayo basi upo sahihi kabisa na huna haja ya kuwa na simu ulizozifananisha ila kama unamatumizi beyond ya hayo unaweza ukaona utofauti
Inawezekana ni kweli unachosema embu niambie hiyo app ambayo sitaweza kwenye haka katecno nirudi awali
 
Back
Top Bottom