Recent content by Katibu wa Chama

  1. K

    Traffic jam ya hatari Nduluma Arusha

    Police Traffic Arusha mnatuangusha, hii jam ni too much
  2. K

    Show ya Diamond Mbeya, kiingilio Tshs 100,000

    Kyela ni very complicated town,Ukumbi unaweza jaa sana. Subirini muone turn up.
  3. K

    Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

    Sure angemzalisha kama yeye kidume,hana adabu wala shukran
  4. K

    Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

    Msamehe Mumeo, mtoto akizaliwa mchukue uishi nae,with time litazoeleka na jamii itakuchukulia kama shujaa.
  5. K

    Nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha, nipo njia panda

    Hawajui wanaume huyo,hao wawili atazeeka nao apende asipende
  6. K

    Mchumba wangu ana matatizo ya kutoa vitu vyeupe kama maziwa ya mgando sehemu za siri

    Vipi usalama wa mtoa mada /mwomba ushauri?Hatakiwi kupima na kutibiwa kweli? Kama anahitaji tiba, atumie dawa gani?
  7. K

    Msaada wa Shamba la kununua Arusha

    Wakuu naomba kupewa Mwanga wa bei za mashamba say Acre 1 maeneo yanayozunguka jiji la Arusha(Wilaya zinazozunguka jiji).Shamba ni kwa ajili ya ufugaji.
  8. K

    Msaada:Live Band Arusha leo Jumamosi

    Asante sana Mkuu
Back
Top Bottom