Kwa wale wa "Romantic Movies"...
1. Barefoot [2014]
2. Endless Love [2014]
3. About Last Night [2014]
4. That Awkward Moment [2014]
5. Romeo & Juliet [2013]
6. The Great Gatsby [2013]
7. Im In Love With A Church Girl [2013]
8. Peeples [2013]
9. Love & Honor [2013]
10. Beautiful...
Yani ni bora wangeongeza makato kidogo, coz watu wengi wanajiunga na "wajanja night offer", kwasababu ya; Kasi ya mtandao na zaidi ni Bando (kuwa UNLIMITED)
#Vodacom , fanyeni research, wateja wenu wengi mtatupoteza (wengine tuna line za voda, only for internet hasa iyo "wanjanja night...!)
Nimeamini, kumbe kweli kuna mijitu huwa inaongea uongo humu (yan labda ingekuwa sehem nyengine, bt ka ni Bunda naijua In&Out, coz ni kijijini kwetu na nilikuwepo huko kwenye likizo ya mwisho wa mwaka jana, watu wana mwamko balaa na wanataka badiliko na kiukweli CHADEMA inapendwaaa)...et, "Hapa...
Ndo hivo, yan sijui kwanini jamaa, anapenda sana aonekane yeye tu (kujitukuza/ubinafsi/umimi), haingii akili kuwa mafanikio yoyote yanaweza kupatikana kupitia kwa mtu mmoja tu, bila kushirikiana na wengine. Lakini, kwanini kila unapomsikia Zitto, yeye ni "nimefanya..." nasi "tumefanya...", na...
Na niongezee..
-chama kama chama ni lazima kuwe na "team-work"
Sasa, ukiona mtu kila alifanyalo/alisemalo (hasa mambo ya kitaifa yenye kuhitaji umoja, yan kiuhalisia ni lazima watu wasaidiane kufanikisha), lakini unakuta mtu ni "mimi nimefanya hili kwa nguvu zangu/nimedhubutu mimi peke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.