basi tena mi ntabaki na university promo..500mb, dk 50 sms 500. kuliko kujiunga usiku kwa hio gb 1 wameniuzi kinoma aisee
Mm bora yangu na wifi ya chuo
Hii unajiunga vp I see itanifaa hii
Jamani hii kweli tatizo la inchi. Internet ndio major communicatio btw people, companies na ulimwengu kwa ujumla. Kama internet inakuwa ghali basi jua wanatulimit hata maendeleo. 100mb kitu gani!!
Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
Sio free afu pia vpn bado inafanya kazi maana wamezuia baadh ya vitu
Sio free afu pia vpn bado inafanya kazi maana wamezuia baadh ya vitu
mzee wa pd proxy na wewe umehamia huku basi nomaMm yaani sijui maeneo ninako ishi MABUNDI ni wengi yaani mm huwa nikijaribu kununua lets say kwenye simu yangu naishiaga kujuta kabisa
Yaani hata kufungua paage no....page zinaweza zianze kufunguka saa sita kudownload ndo majanga kabisa mpakahuwa sielewi kwa kweli....Hivo hiii safari nilisema BYE BYE
Unaharibu bhana. Futa hii kitu fasta....
mzee wa pd proxy na wewe umehamia huku basi noma
Sio pancha tu na spring zmekatikaMweeee lile basi letu limepata pancha !!